Naomba msaada wa kueleweshwa kuhusu course ya Molecular biology and biotechnology, kazi gani utafanya baada ya kusoma? Uwezekano wa kujiajiri na unajiajiri vipi?
Uwezekano wa kuajiriwa ukoje
Naomba msaada wa kueleweshwa kuhusu course ya Molecular biology and biotechnology, kazi gani utafanya baada ya kusoma? Uwezekano wa kujiajiri na unajiajiri vipi?
Uwezekano wa kuajiriwa ukoje.
Nielezee kuhusu hiyo course kama unaifaham vzrHizo ndugu kujiajiri inahitaji Mitaji Mikubwa sana
0758388618 sorry kama utaridhia tuchekiane hapa!Molecular biology ni sayansi inayoshughulika na Viumbe hai katika level ya Ndani sana (Molecular level) kwahiyo kule utahangaika na mambo ya DNA, RNA na Chromosome.
Biotechnology inhusiana na mambo ya Teknolojia kwenye Viumbe hai! Kwa mfano Jinsi ya kupata Genetic modified Organisms kama hawa Broiler na wengineo.
Kama hujaelewa naomba uulize tena
Ukimaliza unafanya kazi sehem gani?Molecular biology ni sayansi inayoshughulika na Viumbe hai katika level ya Ndani sana (Molecular level) kwahiyo kule utahangaika na mambo ya DNA, RNA na Chromosome.
Biotechnology inhusiana na mambo ya Teknolojia kwenye Viumbe hai! Kwa mfano Jinsi ya kupata Genetic modified Organisms kama hawa Broiler na wengineo.
Kama hujaelewa naomba uulize tena
Ukimaliza unafanya kazi sehem gani?
Nielezee kuhusu hiyo course kama unaifaham vzr
Jitoe sana ukasome kwa bidii kuu, huo mziki sio wa kitoto kabisa. Kuna mdau hapo juu ameelezea vzr, kazi zake sio nyingi sana ila zipo na hata wahitimu wa hiyo kozi bado sio wengi sana.Naomba msaada wa kueleweshwa kuhusu course ya Molecular biology and biotechnology, kazi gani utafanya baada ya kusoma? Uwezekano wa kujiajiri na unajiajiri vipi?
Uwezekano wa kuajiriwa ukoje