Kwa nini unataka kuondoka Mara mkuu?Mimi Ni registered nurse, natafta mtu wa kubadilishana naw kituo Cha kazi, aje Mara Tarime DC, Mimi niende Dodoma, au Dar es salaam, kwa maelezo 0758388618
Hapana sina ila najua kama ni mtumishi wakada hiyo hukosi kuwa kwenye group la kiwilaya au mkoaKama uko na hayo magrop Ni add
Mtu atoke dar aende tarime ni sawa na kubadilishana starlet na V8Mimi Ni registered nurse, natafta mtu wa kubadilishana naw kituo Cha kazi, aje Mara Tarime DC, Mimi niende Dodoma, au Dar es salaam, kwa maelezo 0758388618
Acha kulinganisha Tarime na vitu vya hovyo hovyo.Mtu atoke dar aende tarime ni sawa na kubadilishana starlet na V8
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tarime hii hii ya nyerere eti?Acha kulinganisha Tarime na vitu vya hovyo hovyo.
Tarime hiyo hiyo kanda maalum.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tarime hii hii ya nyerere eti?
Hivi kweli mtu anaweza kukubali kuhama Dar au Dodoma na kwenda Tarime kweli???.Mimi Ni registered nurse, natafta mtu wa kubadilishana naw kituo Cha kazi, aje Mara Tarime DC, Mimi niende Dodoma, au Dar es salaam, kwa maelezo 0758388618
What does unfortunately means?? wewe umefanikiwa kupata mtu sasa inakuwaje bahati mbaya??? tumieni kiswahili ndugu kiingereza lugha ya kuja na meli ina kanuni zakeWhy not mkuu, unfortunatelly nishapata mtu siku nyingi