Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,949
- 4,425
Nop ni kitu jipya kwangu kuna Mdau ukanambia nikaona heb niiweke hapa nipate ABC, kumbe ningeishia kumeza antidepressantsNaona wamewaanza first year ili wawakamue boom! Utalia, Uta Sup, mwisho usipokaa sawa uta disco sababu ya stress za Pyramid Scheme zisizo na tija. Kimbia mbali sana na hao watu.
Nop ni kitu jipya kwangu kuna Mdau ukanambia nikaona heb niiweke hapa nipate ABC, kumbe ningeishia kumeza antidepressants
We ajira yako ualimu niniHello, napenda kuuliza kwa mtu mwenye kuelewa juu ya AIM GLOBAL Hawa watu ni kweli wanaweza kukusaidia kupata kipato cha ziada kupitia biashara za bidhaa zao au ni janja janja?
Hahahaha utani huo tu usimindSa ualimu umekuja vipi hapa? Ok sawa bn MKURUGENZ TRA