Yale maji yani shahawa zikizidi ndani ya mwili binadam unakua kam mnyama naunakua chizi.mm sizani kam inafaa kuwalaumu ila.marekebisho yafanyike nawao waoe wake ata zaidi mmoja uone kam shida hizi zitatokea.
Umoja wa mataifa umetuhumu makao makuu ya kanisa katoliki Vatican kwa kuuidhinisha na kutumia sera zilowezesha mapadre kubaka nakuwalawiti maelfu ya watoto.
Kamati ya umoja wa mataifa ya haki za watoto imesema kanisa hilo linapaswa kuondoa wote wanaokiuka haki za watoto kutoka nafasi za...
Polisi wamemkamata mchungaji wamiaka 53 kwa madai ya kumdhuru kimapenzi mjukuu wake ambae ni msichana wamiaka 12 katika kijiji cha Lwala, Kaunti ya Siaya,William Amondi Odinga ambae huhubiri katika Kanisa la New Apostolic alikamatwa baada malalamiko kutoka kwa wananchi,Kiongozi wa wazee katika...
Tuacheni unafiki chama kimetetereka sn huyo zito anaoneka msaliti ndo kakifikisha kua kikuu cha upinzani nchini maamuzi yajazba ndo yamekifikisha hpa sasa tungoje kua kam vyama vilivoanguka navilikua maarufu zaidi chsdema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.