Polisi wamemkamata mchungaji wamiaka 53 kwa madai ya kumdhuru kimapenzi mjukuu wake ambae ni msichana wamiaka 12 katika kijiji cha Lwala, Kaunti ya Siaya,William Amondi Odinga ambae huhubiri katika Kanisa la New Apostolic alikamatwa baada malalamiko kutoka kwa wananchi,Kiongozi wa wazee katika eneo hilo Paul Otemo alisema kua mchungaji huyo amekua akimwonta mwathirika kuhusu matokeo ambayo angekumbana nayo ikiwa angethubutu kuripoti hivyo kwa polisi(NMG)