UN condemns Vatican child abuse cover up

UN condemns Vatican child abuse cover up

Status
Not open for further replies.
Sasa mm kosa lng nn mpaka nujitukane mwenyewe namm naongelea mapadri nasio ukiristo sizani kam ugalatia unafundisha ychafuu huu wanafanya mapadri
 
Wajinga wamegeuza suala hili kuelezea hisia zao za kidini!!!
Waafrika tunateswa na kutofikiria kwetu.
Tumeletewa mizigo eti inaitwa "dini " na kwa kutojua sasa imekuwa nikawaida kwa waafrika kutukanana na hata kupigana juu dini,, vitu ambavyo vimeletwa na "ngozi nyeupe" tena wakati wa UKOLONI na wao wenyewe ndo wanajua misingi yake.
AMINI KWAMBA KUNA MUNGU NA TENDA MEMA WAKATI WOTE WA UHAI WAKO hiyo itampendeza Mungu maradufu kuliko kutukana wenzako kwa ajili ya mambo ambayo unayasoma tu na utaishia kuyasoma tu.
 
140118015005_vatican_un_abuse_hearing_304x171_na_nocredit.jpg


Umoja wa Mataifa umekuwa ukifuatilia visa vya mapadre kuwadhulumu watoto



Umoja wa mataifa umetuhumu makao makuu ya kanisa katoliki la Vatican kwa kuidhinisha na kutumia sera zilizowezesha


mapadre kubaka na kuwalawiti maelfu ya watoto.



Kamati ya umoja wa mataifa ya haki za watoto imesema kanisa hilo linapaswa kuondoa wote wanaokiuka haki za watoto

kutoka nafasi za uongozi na kuanzisha uchunguzi dhidi yao.


Kamati hiyo imekiri kuwa japo Vatican imeshiriki mazungumzo na kuahidi mageuzi, bado inahitaji kupiga hatua kubwa zaidi.

Mengi yaliyoandikwa katika ripoti hii yamekuwa yakiangaziwa na vyombo vya habari. Shutma hizo ni pamoja

na kuharibu watoto, kuwapa adhabu kali na kuwatenganisha na wazazi wao.


Umoja wa mataifa unasema uongozi wa kanisa katoliki unapaswa kufanya juhudi zaidi ili kuzuia makosa

yaliyowahi kutokea.


Umoja wa mataifa pia umesifia marekebisho yalioyafanywa katika sheria za Vatican lakini umesema

kwamba utekelezaji unahitajika kwa kasi.


Kwa upande wake kanisa katoliki limekiri kwamba linahitaji kuhakikisha kwamba sheria zake zinaambatana

na sheria za umoja wa mataifa kuhusu haki za watoto.


Ripoti hiyo pia imekosoa msimamo wa Kanisa katoliki mapenzi ya jinsia moja,upangaji uzazi na uavyaji

mimba.

UN yalaani sera za kanisa katoliki - BBC Swahili - Habari

 
A Vatican spokesman has accused the United Nations watchdog for children's rights of '"intervening" in doctrinal practise.

A report by the group denounced the Holy See for adopting policies which allowed priests to sexually abuse thousands of children. It also criticised Vatican attitudes towards homosexuality, contraception and abortion.

Father Thomas Rosica, of the Holy See press office, told Newsnight that the Catholic church accepted that it had a problem with child abuse and that "crimes had been committed", but said that the committee had "gone over the top in asserting themselves in areas over which they have no competence whatsoever."

Source: BBC News - Church abuse report: Vatican criticises UN 'intervention'
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom