Usimtathmini mtu kirahisi hivyo. Bill Gates alishindwa chuoni lakini baadae akawa mtu maarufu hadi leo kwa kuvumbua microsoft technology. When one door closes another one opens.
Mbona watanzania tunajidharaulisha kiasi hiki? Hivi Trump anakupa nini wewe and for that matter as an african? Angalia maisha yako ili usiwe kwenye kundi la wana simple mind.
Hivi watanzania ni watu wa aina gani? Raisi aseme nini wakati tahadhari inatolewa miaka nenda rudi lakini tunajifanya tunajua kumbe tunapigwa na jua. TMA ilikwishatoa ilani kuwa mvua fupi lakini mbaya sana zinatarajiwa kuanzia sasa hadi May?
Wewe naona huna uelewa wa kilimwengu kabisa. Kulikuwa Mkatoliki wa kutupwa kama hayati baba wa Taifa Mwl. Never hapa kwetu? Huyu aliombewa sana na mashaikh mbali mbali wa Kiislamu labda ulikuwa hujazaliwa! Tafiti kwanza kabla hujajimwaga.
Wacha unafiki ndugu yangu. Ni lini Makonda aliswali msikitini? Kuswali kanisani au msikitini kuna sheria zake. Nyumba za ibada si kama baa za pombe. Mkristo kama Mkristo hawezi Kuswali msikitini hivyo hivyo kwa Muislamu Kuswali kanisani.
Whether or not you're a citizen it doesn't matter go away. Is this type of democracy short sighted guys tout about and on behalf of the nation of snakes, Amaruca? Shame on you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.