Recent content by Hakim Seif

  1. Hakim Seif

    Nini cha kuzingatia kabla ya kununua jenereta kwa ajili ya kukodisha?

    Habari za wiki? Baada ya kudunduliza kwa muda nimefanikiwa kupata mtaji wa kufanya biashara ya kukodisha majenereta. Ni mambo gani muhimu ninatakiwa nizingatie ili nisije kujifunza the hard way? Namna ya kuendesha biashara, connections, aina ya jenereta za kununua n.k
  2. Hakim Seif

    CIU za mita za Tanesco

    Nahitaji msaada chief kwa namna ya kuconvert CIU ya mita moja kufanya kazi kwenye mita nyingine
  3. Hakim Seif

    Naomba kufahamishwa friji gani ni nzuri

    Frij au freezer nzur boss ni ile ambayo inakula unit 1 kwa siku kwa umeme wa leo. Ni vizur ukachukua frij/freezer mpya kabisaa aidha BOSS au BRUHM etc. Lakini kabla hujainunua iangalie stika yake ya power rating inayokuwa kwa nyuma Ya kifaa husika.
  4. Hakim Seif

    Kuza biashara na mauzo yako kwa kutumia vitoroli hivi

    Vitoroli baiskeli ambavyo utavitumia kuajiri wafanyakazi wa kusambaza bidhaa zako wewe mwenyewe kama afanyavyo azam: Ice cream za kishua Lambalamba Juice na milkshakes na smoothies Kahawa za kishua Kusambazia pizza Kusambazia burgers na vitu vingine amazing Vinafaa kwa huduma ya dry cleaning...
  5. Hakim Seif

    Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    hahahahahaaaa... Ndiyo maana ukajiita 'Mbu'
  6. Hakim Seif

    MakJuice ni Upotoshaji unaoota mizizi Tanzania

    Ni kweli bwana. Ila ukimcheki jamaa mmoja anaenda kwa brand ya juice king anajiita insta kama juicekingtz amekuja na style mpya ambayo hata mimi nimeipenda
  7. Hakim Seif

    Huyu ndiye mume wangu

    Hakuna aliyekamilika. Jifunze kuyakubali mapungufu yake na ufurahie mazuri yake. Kama anakukwaza mueleze. Mahusiano yenu yanajengwa na nyinyi wawili. Kama hamuongei hizi mambo unakuja kupost huku ni mapuuza na inapaswa uadhibiwe.!
  8. Hakim Seif

    Ukitaka kutoboa kimaisha lazima uachanena na Wanawake kwanza?

    mafanikio au maendeleo ni yako wewe. Ukichanganya mahusiano/mapenzi/wanawake na kazi utajikuta kimoja kati ya hivyo hukipi attention inavyotakiwa na utalose. Mfano ukiwa mtu wa mapenzi sana utakutana na changamoto zake mpaka utaanza kupoteza mzuka wa kupiga kazi, huna mood and at the end of the...
  9. Hakim Seif

    Ku-root tecno spark 2

    Bila pc hiyo haiwezekani. Pc is your only option. Since spark 2 bado ni simu mpya sokoni, tutorial straightforward ya kuroot bado haipo. But hovatek.com ni site ambayo kuna thread inaongelea kuroot spark 2
  10. Hakim Seif

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    hakuna mtu ambaye anafahamu namna ya kuconvert hizi likes ziwe bitcoin... maana hamna namna nyingine sasa!
  11. Hakim Seif

    Photocopy Machines Zinauzwa Bei Nzuri Sana

    Ninaweza nikapata picha za xerox models?
  12. Hakim Seif

    Vituko vya wanawake Nigeria, Wataka Serikali iwasaidie Waolewe, Waandamana nusu Uchi

    Read the label... It says ''to marry ''... Not *** over and leave!
  13. Hakim Seif

    Ninawezesha Playstation 3 iweze kucheza Game kwenye HDD

    Kusema ukweli... Kama wewe una ps3 juu ya 3.55.hauwezi kudowngrade kwa flash disk. Utahitaji chip flani hivi kufanya kitu hicho
  14. Hakim Seif

    Naomba kusaidiwa namna ya Kuchip Ps3

    Hello. Habarini. Nina ps3 model ya mwanzo kabisa model no. CECHA01.Nahitaji fundi ambaye anaweza kuichip ili iweze kucheza games za kudownload za ps3. Kwa mtu ambaye ni fundi wa kuchip kwa mkoa wa dar... Morogoro... Dodoma anichek kwa namba 0786938607
  15. Hakim Seif

    Kuchip PS3

    Hello. Habarini. Nina ps3 model ya mwanzo kabisa model no. CECHA01.Nahitaji fundi ambaye anaweza kuichip ili iweze kucheza games za kudownload za ps3. Kwa mtu ambaye ni fundi wa kuchip kwa mkoa wa dar... Morogoro... Dodoma anichek kwa namba 0786938607
Back
Top Bottom