Mimi Kwa jicho la tatu naona kama hapa mama anauzwa na wasaidizi wake Kwa sababu amini kabisa suala la katiba si chadema tu hata ccm wanatamani Sana na wanajua sio rahisi kutumia ngozi zao halisi kudai Kwa sababu kumuita mbowe gaidi ni kumpa umaarufu zaidi especially umeenda kumkamata kwenye...
Kwanza ukitaka kujua elewa kwanza angalau maana inayokubalika angalau kuwa halisi ya uchumi (LORD ROBBIN). Pili kwa hali aliyoikuta Rais alitakiwa aanze na kipi? (SCALE OF PREFFERENCE),tatu je vipimo vp ni sahihi kutambua uchumi wa nchi?
Ndg wana bodi
Siku za hivi karibuni kumekuwa .na hamahama ya wanasiasa hapa nchini na kufikia hatua ya kuanza utumwa wa siasa yaani slave trade. Wahenga walisema ukiona kiza kimezidi ujue kunakaribia kupambazuka, ni kweli kwa hali iliyopo sasa nchini ni dhahiri ushindi kwa chadema uko inje inje...
KAHAMA panasikitisha sana yaani watu mhongwe sufuria halafu utegemee barabara yaani halimashauri yote madiwani mbunge ccm halafu unasubiri barabara haahaaaa pole sana pambana na hali yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.