Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 2,194
- 4,805
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru amenukuliwa akisema eti wale wabunge wanaoikosoa sana serikali bungeni ndio wanaotakiwa, la sivyo CCM itajifia!
Katibu mkuu huyu inaonekana haendani na Magufuli kwenye mambo mengi, kuanzia kwenye suala la katiba mpya ambayo alinukuliwa akisema hii haifai kwa mfumo wa vyama vingi akihojiwa na Azam Tv
Magufuli na wengine wanataka katiba hii hii inayompa rais madaraka mengi pamoja na nguvu nyingi pia CCM
Lingine ni suala la watendaji wa Serikali kujihusisha na mambo ya chama, katibu huyu alipiga marufuku watu kama wakuu wa wilaya na mikoa kutojihusisha na siasa za vyama
Hili nalo ni kinyume na itikadi za Magufuli ambaye anachanganya sana mambo ya chama na serikali, ikiwemo anateua makada wa vyama katika nafasi mbalimbali na mashirika ya umma , hata wakurugenzi wa Halmashauri, pia shughuli za CCM kuzifanyia Ikulu
Kingine ni hii kusema kuwa eti wabunge kama Nape n Bashe ndio wanaotakiwa CCM, wabunge wanooonekana ni waasi mara nyingi na hata Nape alipokosoa bungeni ishu ya korosho na kusema CCM itashindwa uchaguzi kusini, JPM alitamka na bila kumtaja jina na kusema aondoke....yaani hamtaki kabisa
Pia JPM amekua akionekana kuwatisha wabunge kwa njia indirect mara kadhaa kwa kutamka kila mara kuwa Naangalia Sana Bunge ( kutuma ujumbe wa Be careful, i'm watching you)
Pia kuna kipindi alimtuma prof. Mpango awapelekee ujumbe live bungeni baada yq kusikika wakikosoa mpango wa ujenzi wa Stieglers Gorge
Katibu mkuu huyu inaonekana haendani na Magufuli kwenye mambo mengi, kuanzia kwenye suala la katiba mpya ambayo alinukuliwa akisema hii haifai kwa mfumo wa vyama vingi akihojiwa na Azam Tv
Magufuli na wengine wanataka katiba hii hii inayompa rais madaraka mengi pamoja na nguvu nyingi pia CCM
Lingine ni suala la watendaji wa Serikali kujihusisha na mambo ya chama, katibu huyu alipiga marufuku watu kama wakuu wa wilaya na mikoa kutojihusisha na siasa za vyama
Hili nalo ni kinyume na itikadi za Magufuli ambaye anachanganya sana mambo ya chama na serikali, ikiwemo anateua makada wa vyama katika nafasi mbalimbali na mashirika ya umma , hata wakurugenzi wa Halmashauri, pia shughuli za CCM kuzifanyia Ikulu
Kingine ni hii kusema kuwa eti wabunge kama Nape n Bashe ndio wanaotakiwa CCM, wabunge wanooonekana ni waasi mara nyingi na hata Nape alipokosoa bungeni ishu ya korosho na kusema CCM itashindwa uchaguzi kusini, JPM alitamka na bila kumtaja jina na kusema aondoke....yaani hamtaki kabisa
Pia JPM amekua akionekana kuwatisha wabunge kwa njia indirect mara kadhaa kwa kutamka kila mara kuwa Naangalia Sana Bunge ( kutuma ujumbe wa Be careful, i'm watching you)
Pia kuna kipindi alimtuma prof. Mpango awapelekee ujumbe live bungeni baada yq kusikika wakikosoa mpango wa ujenzi wa Stieglers Gorge