Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,141
- 1,982
Kwenye mkutano huo wamesisitiza kuwa katiba ya chama chao ina mapungufu mengi na kusema ifanyiwe marekebisho kabla hata hawajadai katiba mpya ya Tanzania
Wamesema katiba inayotumika sasa inakinzana kabisa na chama chao kinachojinasibu kuwa chama cha demokrasia
Maendeleo hayana vyama
Kazi iendelee
Mbwa akikosa chakula hula kinyesi