Hahaa hata hivyo bado comeback hii imebakia kileleni. Nataman at7pe technics alianzaje anzaje had akamlaza maza kibra, na alipitia vizingiti vipi na kuvipangua.
Noma sana, visasi vya kuchukua karatasi na kuanza kuchora mpango kazi. Hii haikutokea tu kichwani ni lazima uliwekeza muda na nguvu namna ya kuitekeleza. All in all nakuunga mkono, hapo chapa na mdogo wake mke wako.
Mkuu kwetu huwa tunaombea majanga yatokee ulimwenguni ili 1. Tupate cha kusingizia maana mawazo ya namna gani tutasonga huwa adimu kuyasikia 2. Fursa ya kupiga madeal yetu maana huyo aliekimbilia kupandisha bei huwez jua ana petrol station ngapi
Noma sana, mimi nilikuwa namshangaa braza kaoa mke mzuri pale kijijini ila bado alikuwa ana omba mageto kwa pemben anapigia samaki wengine. Hadi kuna siku nilimuuliza kwamba alicho nacho mwanamke si ni kile kile kipo kwa kila mwanamke brother akanijibu bado mdogo endelea kukua. Kwa sasa huwa...
Katoro hapo kuna mnada wa Mifugo nadhani siku ya Jumatatu kama sijakosea, na Geita pale upo mnada pia. Vizia jion au njiani nunua mbuzi kwa bei ya chini mfano 70,000 kisha uza hapo hapo mnadani huyo mbuzi kwa 90,000 kunja 20k kwa mbuzi rudi nyumbani. Ukiona bei sio nzuri watunze sehemu bei...
Tanzania yawa ya kwanza kuunda ndege huko Morogoro
Tanzania yawa ya kwanza kuunda vichwa
Tanzania yawa ya kwanza hiki na kile
Haya mambo huwa yanapambwa na kupotea bila kuona mwendelezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.