Huenda
1. huko nyuma uliqah mdanganya mtu fulani ni ndugu yako halafu akaja akajua anakumega
2. Kuna kitu aliwahi kukukataza ila kwenu walivyo kushauri ukakifanya, kumaanisha ukadharau katazo lake ukatii la wa kwenu (lazima awamaindi)
3. Huenda wakati hamjajipata (mkiwa hamjapata fedha)...
Usiku una siri gani?
1. Ukitaka mafanikio makubwa (plan au ndoto halisi hufanyika usiku).
2. Watoto wengi huzaliwa usiku, nadhan hata mwamzisha uzi huu ulizaliwa usiku.
3. Vifo vingi pia hutokea usiku.
4. Usiku unabeba nini lakini?
Kwa hoja hizo naweza kukubalia yamkin uzi wako una ukweli
Hahaa hata hivyo bado comeback hii imebakia kileleni. Nataman at7pe technics alianzaje anzaje had akamlaza maza kibra, na alipitia vizingiti vipi na kuvipangua.
Noma sana, visasi vya kuchukua karatasi na kuanza kuchora mpango kazi. Hii haikutokea tu kichwani ni lazima uliwekeza muda na nguvu namna ya kuitekeleza. All in all nakuunga mkono, hapo chapa na mdogo wake mke wako.
Mkuu kwetu huwa tunaombea majanga yatokee ulimwenguni ili 1. Tupate cha kusingizia maana mawazo ya namna gani tutasonga huwa adimu kuyasikia 2. Fursa ya kupiga madeal yetu maana huyo aliekimbilia kupandisha bei huwez jua ana petrol station ngapi
Noma sana, mimi nilikuwa namshangaa braza kaoa mke mzuri pale kijijini ila bado alikuwa ana omba mageto kwa pemben anapigia samaki wengine. Hadi kuna siku nilimuuliza kwamba alicho nacho mwanamke si ni kile kile kipo kwa kila mwanamke brother akanijibu bado mdogo endelea kukua. Kwa sasa huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.