Recent content by hagau

  1. hagau

    JamiiForums Tanzania Machimbo ya Kariakoo yapo usiku wa manane tu, mchana hutayaona utadalaliwa tu

    Usiku una siri gani? 1. Ukitaka mafanikio makubwa (plan au ndoto halisi hufanyika usiku). 2. Watoto wengi huzaliwa usiku, nadhan hata mwamzisha uzi huu ulizaliwa usiku. 3. Vifo vingi pia hutokea usiku. 4. Usiku unabeba nini lakini? Kwa hoja hizo naweza kukubalia yamkin uzi wako una ukweli
  2. hagau

    JamiiForums Tanzania Homa Sugu & Uchovu: Natafuta Tiba Asili

    Kuna comment nimeitafuta sijaiona kabisa, Mimi niulize kimoja tu, je ukilala usiku una sweat na kuloanisha shuka?
  3. hagau

    JamiiForums Tanzania Sababu za Jenerali Ulimwengu kuzinguana na Mkapa hadi kunyang'anywa uraia

    Nimesoma yote pamoja na kuwa mvivu wa kusoma makala
  4. hagau

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtazamo binafsi: Hatua anazopitia mwanamke baada ya kuachika kwenye ndoa yake

    Kiwanda cha stress halafu mtandaoni show off 24/7 Ukitaka kujua mtu kajaa stress ni status
  5. hagau

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnishauri biashara ya kufanya ili nitoboe

    Kwa vile wewe ni wa Kiume hamia KATORO, komaa pale utatoboa
  6. hagau

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Hahaa hata hivyo bado comeback hii imebakia kileleni. Nataman at7pe technics alianzaje anzaje had akamlaza maza kibra, na alipitia vizingiti vipi na kuvipangua.
  7. hagau

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Noma sana, visasi vya kuchukua karatasi na kuanza kuchora mpango kazi. Hii haikutokea tu kichwani ni lazima uliwekeza muda na nguvu namna ya kuitekeleza. All in all nakuunga mkono, hapo chapa na mdogo wake mke wako.
  8. hagau

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya nchi za Afrika zikipambana kwa kupunguza ushuru ili bei ya mafuta isipande Mamlaka za Tanzania zenyewe zinapandisha bei

    Mkuu kwetu huwa tunaombea majanga yatokee ulimwenguni ili 1. Tupate cha kusingizia maana mawazo ya namna gani tutasonga huwa adimu kuyasikia 2. Fursa ya kupiga madeal yetu maana huyo aliekimbilia kupandisha bei huwez jua ana petrol station ngapi
  9. hagau

    JamiiForums Tanzania Iran yakishambulia kituo cha Nyuklia cha Dimona na kukiharibu kabisa

    Ok, tujaribu kuheshimiana hapa Duniani
  10. hagau

    JamiiForums Tanzania Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Kuna vingine ni vigumu kujitenga navyo mkuu, mfano balozi wa ene9 lako wa nyumba kumi humpendi na ndio kiongozi wako utafanyaje? Unahama mtaa au nchi?
  11. hagau

    JamiiForums Tanzania Vitu ambavyo nilikuwa navichukulia kirahisi nikiwa under 25 lakini sasa nina zaidi ya miaka 35 nawaheshimu waliovifanya

    Noma sana, mimi nilikuwa namshangaa braza kaoa mke mzuri pale kijijini ila bado alikuwa ana omba mageto kwa pemben anapigia samaki wengine. Hadi kuna siku nilimuuliza kwamba alicho nacho mwanamke si ni kile kile kipo kwa kila mwanamke brother akanijibu bado mdogo endelea kukua. Kwa sasa huwa...
  12. hagau

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Telaviv wapewa masaa 24 ya kuhama

    Iran hakutaka hii vita kabisa, nyeto ya Nyau ndio akaiomba na kumkonvice Turaa la Mpuuu wakaanza kuchapa mwenzao. Irsni awapige tu
  13. hagau

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa mawazo hapa unahitajika kwa mliofanikiwa katika hili

    Katoro hapo kuna mnada wa Mifugo nadhani siku ya Jumatatu kama sijakosea, na Geita pale upo mnada pia. Vizia jion au njiani nunua mbuzi kwa bei ya chini mfano 70,000 kisha uza hapo hapo mnadani huyo mbuzi kwa 90,000 kunja 20k kwa mbuzi rudi nyumbani. Ukiona bei sio nzuri watunze sehemu bei...
Back
Top Bottom