Recent content by hagau

  1. hagau

    Naombeni mnishauri biashara ya kufanya ili nitoboe

    Kwa vile wewe ni wa Kiume hamia KATORO, komaa pale utatoboa
  2. hagau

    Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Hahaa hata hivyo bado comeback hii imebakia kileleni. Nataman at7pe technics alianzaje anzaje had akamlaza maza kibra, na alipitia vizingiti vipi na kuvipangua.
  3. hagau

    Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Noma sana, visasi vya kuchukua karatasi na kuanza kuchora mpango kazi. Hii haikutokea tu kichwani ni lazima uliwekeza muda na nguvu namna ya kuitekeleza. All in all nakuunga mkono, hapo chapa na mdogo wake mke wako.
  4. hagau

    Baadhi ya nchi za Afrika zikipambana kwa kupunguza ushuru ili bei ya mafuta isipande Mamlaka za Tanzania zenyewe zinapandisha bei

    Mkuu kwetu huwa tunaombea majanga yatokee ulimwenguni ili 1. Tupate cha kusingizia maana mawazo ya namna gani tutasonga huwa adimu kuyasikia 2. Fursa ya kupiga madeal yetu maana huyo aliekimbilia kupandisha bei huwez jua ana petrol station ngapi
  5. hagau

    Iran yakishambulia kituo cha Nyuklia cha Dimona na kukiharibu kabisa

    Ok, tujaribu kuheshimiana hapa Duniani
  6. hagau

    Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Kuna vingine ni vigumu kujitenga navyo mkuu, mfano balozi wa ene9 lako wa nyumba kumi humpendi na ndio kiongozi wako utafanyaje? Unahama mtaa au nchi?
  7. hagau

    Vitu ambavyo nilikuwa navichukulia kirahisi nikiwa under 25 lakini sasa nina zaidi ya miaka 35 nawaheshimu waliovifanya

    Noma sana, mimi nilikuwa namshangaa braza kaoa mke mzuri pale kijijini ila bado alikuwa ana omba mageto kwa pemben anapigia samaki wengine. Hadi kuna siku nilimuuliza kwamba alicho nacho mwanamke si ni kile kile kipo kwa kila mwanamke brother akanijibu bado mdogo endelea kukua. Kwa sasa huwa...
  8. hagau

    Wakazi wa Telaviv wapewa masaa 24 ya kuhama

    Iran hakutaka hii vita kabisa, nyeto ya Nyau ndio akaiomba na kumkonvice Turaa la Mpuuu wakaanza kuchapa mwenzao. Irsni awapige tu
  9. hagau

    Ushauri wa mawazo hapa unahitajika kwa mliofanikiwa katika hili

    Katoro hapo kuna mnada wa Mifugo nadhani siku ya Jumatatu kama sijakosea, na Geita pale upo mnada pia. Vizia jion au njiani nunua mbuzi kwa bei ya chini mfano 70,000 kisha uza hapo hapo mnadani huyo mbuzi kwa 90,000 kunja 20k kwa mbuzi rudi nyumbani. Ukiona bei sio nzuri watunze sehemu bei...
  10. hagau

    Sometimes inabidi uwe gentleman unaemjali mpenzi wako na kuwa romantic, acha kuandamwa na mawazo ya kuwa "simp" ?

    Hizo features ukiziona kwa mwanaume ujue kumlia demu wake hakuhitaji nguvu. Fanya practical utanipa majibu
  11. hagau

    TRC yaanza kuunda vichwa vya treni za MGR nchini, yawa nchi ya kwanza katika Ukanda wa Afrika Mashariki kufanya hivyo

    Tanzania yawa ya kwanza kuunda ndege huko Morogoro Tanzania yawa ya kwanza kuunda vichwa Tanzania yawa ya kwanza hiki na kile Haya mambo huwa yanapambwa na kupotea bila kuona mwendelezo
  12. hagau

    Kutoka rubani wa ndege nchini Marekani hadi muokota makopo nchini Kenya

    Home sickness ukiwa nje ya nchi yako isikie tu kwa mwenzio
  13. hagau

    Unalitambuaje godoro feki?

    Density ni Tungamo, Sayansi darasa la 6 miaka ile. Haya tungamo ni nini😁
Back
Top Bottom