Naombeni mnishauri biashara ya kufanya ili nitoboe

Naombeni mnishauri biashara ya kufanya ili nitoboe

Ndugu zangu watanzania wenzangu,kaka zangu,dada zangu,baba zangu na mama zangu.
Naombeni mnishauri aina ya biashara nayoweza kufanya na nikapata mafanikio ndani ya mda mfupi mfano ndani ya miaka mitano niwe angalau nimenunua kiwanja changu na nimejenga nyumba nzuri

Au unaweza ukanipa muongozo kwamba dogo tafuta kiasi fulani cha pesa ufanye hivi na hivi.

Au unaweza ukawa una biashara unayofanya na unahitaji kupanua matawi unaweza ukanichukua nikusaidie halafu uwe unanilipa. naweza kufanya angalau kwa muda fulani angalau nipate pa kuanzia.

Napo sema naomba msaada ukweli naomba msaada iwe ushauri iwe ni kuniajiri yote sawa

Naombeni wale mnaotukana msinitukane
Hakuna biashara mpya. Angalia wanaokuzunguka wanafanya nini kinawalipa na wewe iga. Ukifanikiwa ya kwanza ndio tafuta nyingine au buni nyingine.
 
Hakuna biashara mpya. Angalia wanaokuzunguka wanafanya nini kinawalipa na wewe iga. Ukifanikiwa ya kwanza ndio tafuta nyingine au buni nyingine.
Umenena vyema mkuu
Vijana wanajidangnya sana kutafuta biashara mpya na isiyo na ushindanie jambo ambalo haiwezekani
Sasa hivi tunafanya innovation tu
 
Biashara ya mafuta ya kula.
Subiri bei ikishuka sana ndio unanunua mzigo wa kutosha. Mfano, mwezi Jana yalikuwa yanauzwa 81,000/= dumu la lita ishirini, now yanauzwa elfu tisini na Moja.

Umenunua dumu nyingi inapiga hela nyingi
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,kaka zangu,dada zangu,baba zangu na mama zangu.
Naombeni mnishauri aina ya biashara nayoweza kufanya na nikapata mafanikio ndani ya mda mfupi mfano ndani ya miaka mitano niwe angalau nimenunua kiwanja changu na nimejenga nyumba nzuri

Au unaweza ukanipa muongozo kwamba dogo tafuta kiasi fulani cha pesa ufanye hivi na hivi.

Au unaweza ukawa una biashara unayofanya na unahitaji kupanua matawi unaweza ukanichukua nikusaidie halafu uwe unanilipa. naweza kufanya angalau kwa muda fulani angalau nipate pa kuanzia.

Napo sema naomba msaada ukweli naomba msaada iwe ushauri iwe ni kuniajiri yote sawa

Naombeni wale mnaotukana msinitukane
Ili usaidike ni vema ukawa muwazi unuzi, elimu
Na matarajio au maombi yako ya moja Kwa moja
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,kaka zangu,dada zangu,baba zangu na mama zangu.
Naombeni mnishauri aina ya biashara nayoweza kufanya na nikapata mafanikio ndani ya mda mfupi mfano ndani ya miaka mitano niwe angalau nimenunua kiwanja changu na nimejenga nyumba nzuri

Au unaweza ukanipa muongozo kwamba dogo tafuta kiasi fulani cha pesa ufanye hivi na hivi.

Au unaweza ukawa una biashara unayofanya na unahitaji kupanua matawi unaweza ukanichukua nikusaidie halafu uwe unanilipa. naweza kufanya angalau kwa muda fulani angalau nipate pa kuanzia.

Napo sema naomba msaada ukweli naomba msaada iwe ushauri iwe ni kuniajiri yote sawa

Naombeni wale mnaotukana msinitukane
Ili usaidike ni vema ukawa muwazi ujuzi, elimu
Na matarajio au maombi yako ya moja Kwa moj
 
Tafuta 50,000,000 uje tuungane kupeleka bidhaa fulani mkoani wateja ni uhakika unawapigia simu tunapeleka units 1,000 kuna wengine wanataka 300, 200,100, 500 pesa bank faster!
Troll JF vipi huu mpango mmefikia wapi
 
May be sababu zifuatazo
1. Hukuweka funny ya mpango ukoje
2. JF viwango vyetu wengi ni 5-10M Tu
3. Watu kuwa na Imani ndogo
Sikuwahi ku convince mtu anipe pesa ni mpango wa kukutana na kupanga pamoja then tunaanza business kwa paper work kufungua kampuni kabisa ya partnership ila nimekaribia kufanya mimi mwenyewe nikihitaji pesa nitakopa bank nina assets ambazo naweza kutumia kama collateral
 
Back
Top Bottom