Kama Prof alikosa uzalendo kwenye UKAWA na matokeo yake CUF kupitia UKAWA wamepata wabunge na madiwani wengi ikilinganishwa na kipindi chake hii inaonesha kuwa Prof alifail katika mission yake. Sasa kama anarudi na slogan ya HAPA HAKI TU hiki ni kichekesho kingine. Nashauri CUF wakimaliza issue...
Mdau kwani Club Bills ilipofungwa kwa miezi sita ilikuwa inasubiri pesa ya EL? Kwani EL ana muda gani tangu ajiunge CDM? EL atoe 10billion kisa? Unajua maana ya 10Billion au unafikiri ni pesa ya mboga? Naamini JF ni jukwaa la watu makini na wenye umahiri wa kuchambua mambo. Hebu tuachane na...
Mbona huyu JPM akiwa WAZIRI alikuwa anatetea safari za raisi na kusema zilikuwa na tija ndiyo maana mabarabara yamejengwa? Hapo hakuwa mnafiki? Namuunga mkono kupiga marufuku safari za nje zisizo na tija ila naye akiwa waziri alikuwa anamtetea raisi wake. Iweje leo?
''Isitoshe mimi ini mkubwa kwake 34 kwa 21 ni tofauti kubwa sana ya umri, mimi sio age mate wake, mnaobeza tofauti hiyo mnanishangaza sana''
Wewe sio age mate wa huyo kijana kwa tofauti kubwa ya age, je mbona age ya huyo mwanamke 51 vs 34 ya kwako mbona ni tofauti kubwa?
Lipumba ni Professor asiye na aibu. Yaani nafsi ilimsuta akakimbia leo anarudi anamshauri rais Magufuli. Naona angekwenda kuitisha conference ndani ya Lumumba. Nafsi haimsuti kwa kusaliti chama? Ameondoka tu kwenye chama idadi ya wabunge wameongezeka na Maalim kashinda. Akae kimya aendelee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.