Sio kwamba masikini wote ni wajinga,wavivu au wenye viburi lahasha
Kuna watu tunapambana sana ila ndio hivyo tena mifumo inatukataa ila hatujakata tamaa ipo siku mambo yatakua sawa tu inshaalah!
Siku nyingine mtu yeyote akikushika tako hakikisha una deal naye Iwe ni kwa kushinda au kupoteza pambano.
Haiwezekani una mtengenezea mtu mazingira ya kukutamani na kukuona kama mtoto wa kike, Inakupasa ubadirike uishi kiume, acha minato ya kike kunaji Snap muda wote mpka una mtamanisha...
Moja, binafsi namuwaza aliye kuwa anarecord wakati mwalimu mkuu akitekeleza majukumu yake alikuwa na lengo gani?
Pili, Huwezi fundisha watoto watukutu kwa kuwabembeleza, hujafanya zoezi utaadhibiwa! Mbona hajaadhibu shule nzima? Kwanini adhibiwe yeye?
Tatu, uliye share hiyo video ya mwenzio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.