Recent content by H u n t e r

  1. H u n t e r

    Namna mifumo inavyoweza kukunufaisha kibiashara

    1-Maono 2-usaidi 3-maarifa 4-Nguvu ( isiyojali hali)
  2. H u n t e r

    Waziri Biteko aagiza watumishi wa TANESCO waliokuwa likizo ya pasaka warudi haraka

    Kuna mtu kauziwa kimeo, muda si mrefu kina mlipukia! [emoji848]
  3. H u n t e r

    Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

    Hongera sana mkuu, uwekezaji mzuri pia nimejifunza kitu
  4. H u n t e r

    Wanawake wanavutiwa na mambo haya

    Tafuta hela mkuu hayo mengine hawa viumbe wanavumilia
  5. H u n t e r

    Ukizini na mwanamke nje ya ndoa, Mungu anapunguza Miaka 5 kwenye maisha yako

    Ukizini na mwanaume nje ya ndoa unapunguziwa miaka 10
  6. H u n t e r

    Sababu 3 zinazojirudia kwa kila jamii masikini

    Sio kwamba masikini wote ni wajinga,wavivu au wenye viburi lahasha Kuna watu tunapambana sana ila ndio hivyo tena mifumo inatukataa ila hatujakata tamaa ipo siku mambo yatakua sawa tu inshaalah!
  7. H u n t e r

    Adam Mchomvu ana nini hasa dhidi ya Clouds kushindwa kumdhibiti?

    Siku yake yaja itaingia kwenye kikaango cha wakulungwa wata mnyoosha!!
  8. H u n t e r

    Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Usiku ndiyo huu mkuu, au ulipo halijachwea
  9. H u n t e r

    Ushauri: Lecturer ananitaka kimapenzi, ananitishia yeye ndio mwenye hatma ya matokeo yangu

    Siku nyingine mtu yeyote akikushika tako hakikisha una deal naye Iwe ni kwa kushinda au kupoteza pambano. Haiwezekani una mtengenezea mtu mazingira ya kukutamani na kukuona kama mtoto wa kike, Inakupasa ubadirike uishi kiume, acha minato ya kike kunaji Snap muda wote mpka una mtamanisha...
  10. H u n t e r

    Mining ni pesa isiyo na jasho

    Unaonaje kama utaanzisha darasa hapa
  11. H u n t e r

    Ushauri: Serikali mrejesheni haraka mwalimu aliyesimamishwa kazi

    Moja, binafsi namuwaza aliye kuwa anarecord wakati mwalimu mkuu akitekeleza majukumu yake alikuwa na lengo gani? Pili, Huwezi fundisha watoto watukutu kwa kuwabembeleza, hujafanya zoezi utaadhibiwa! Mbona hajaadhibu shule nzima? Kwanini adhibiwe yeye? Tatu, uliye share hiyo video ya mwenzio...
Back
Top Bottom