Hii hadithi ya huyu Kigwangwala ni moja ya matukio yanayotokea kila siku hapa Tanzania. Wote tunajua. Ni hayo ni matokeo ya mfumo mbovu wa kisiasa ambao umezaa serikali legelege na watumishi corrupt. Waliotuongoza kufikia hali hii ndio eti wanataka sasa kujifanya kuandika hizi stories ki-riwaya...
Katiba itapoteza umaana wake ikiwa itaweka vipengele ili kutimiza matakwa ya mtu au kikundi cha watu...katiba pia itapoteza maana ikiwa itaweka vipengele vinavyonyima mtu au group fulani ya watu haki kupata au kutumia haki yao ya msingi..heri mzee mwenye uadilifu kuliko kijana fisadi na pia heri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.