Nimeota namuona mwanamke ameshika panga anarizungushaa, nikawa namkwepa lakini baadae nikamshika nikambeba nikampeleka ndani, alikua ni mwanamke mweupe kupita kiasi, nikamvua nguo nikafanya nae mapenzi. But ghafla naona amelaza mtoto pembeni yake, nikamuuliza huyu mtoto wa nani? Akajibu ni mtoto...
Unazani wale walioingia madarakani hawakuwa na mipango mizuri kama hii? Unapoingia madarakani jua kuna watu wamekuweka and you will start serving their interest
Hebu jaribu kufikiri unapoenda kwenye taasisi mbalimbali watataka namba ya NIDA alafu watataka barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa. Wakati kipindi unajisajili ili upate namba ya NIDA ulipeleka barua ya utambulisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.