Hadi mnyooke kabisaaaaa maana mlimpumzisha kwa lazima sasa mnamlilia ili aje awafanyie nini? Na mliona mnajiweza sasa pambaneni na Hali yenu Sisi tukazindue dira yetu
Tiki vema kubwa kwa mama
Pia huyo pole pole kasahau madudu aliyoyafanya enzi zake Tz nzima akapatikana mwakilishi mmoja wa chama pinzan bungeni mbona hakukemea wakati huo ?
Mwambieni asituvurugie nchi huyo pole pole wenu
Kwa mama tunatiki mitano tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.