Sasa humu imeshakuwa habari zinatumwa zinakuwa ni za uongo, wewe unayeombwa laki sita unataka kutapeliwa,ulishaona wapi ajira za hivyo?mimi huwa naona mtu anaetaka wafanyakazi huwa anagharamikia kila kitu,je iweje leo anaetafuta kazi aombwe pesa?vile vile hilo Tangazo lilikuwa ni la uongo mtupu...
Ndg angalia sana hiyo kauli yako kwani hao watu waliohudhuria mkutano wa CCM jangwani ni wa kusomba kwa malori,wala sio wa hapo maeneo ya karibu,kumbuka chama hiki kina miaka 50 hakina jipya,hivyo watu wamechoshwa na uongo wa kila siku halafu utekelezaji ni sifuri,hakika nakwambia 205 ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.