Gharama ya Wivu wa Mapenzi hii hapa

Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke mmoja (Mhasibu) amejikuta akilazimishwa na mume wake kuacha kazi kwa kisa cha wivu mkubwa wa mwanaume anayehofia kuwa mkewe anaweza kutongozwa na wanaume. Je, hii ni halali? Wanaharakati wa haki za binadamu na wanawake mnasemaje?

Kama kafunguliwa mradi wa kuku wa kisasa au kama ndo iyo plani ipo njiani kuna ubaya gani?
 
mume wa hivi namuacha hata kama kanisomesha yeye. yaani kusugua kichwa kwangu miaka yote ya shule niishie kupikia maharage? siku mume wangu atakapoingiza suala la niache kazi ajue achague, mke au kurudia u-bachelor

@Fixed Point...halafu akishaamua ukae nyumbani anaanza kukunyanyasa pale ambapo unamwambia unahitaji pesa za matumizi yako mbali mbali zikiwemo za vipodozi...hakawii kuangalia wake wa wenzie na kuwasifia mke wa fulani anapendeza sana wakati wa kwake hata sento moja ya kujipendezesha hampi na huku alimshinikiza aache kazi ili apunguze uwezekano wa kutongozwa na njembas nyingine

 
Imenikumbusha movie moja nimeiangalia siku si nyingi inaitwa Jealous lovers. It is a must watch movie kwa wale wapenzi wa movie za Nigeria. Amecheza Geneveave na Pat.

Yani jamaa alikuwa na wivu kwa girlfriend wake anapiga mpaka basi kwa kumuhisi ana wapenzi wengine hata akimuona yuko na ndugu asowajua na alimwekea spy college ili apewe data akionekana na mwanaume. Lakini wote walikuwa ni waaminifu ila hawaaminiani. Wakaoana wivu ukaendelea; mume hataki mke afanye kazi. Wife alipong'ang'ania akajikuta inambidi afanye kazi kwenye kampuni ya mumewe kama GM (kama si MD). Sasa ilikuwa kazi kwa business partners wa kike kumuona CEO kwani GM alishasema hakuna mtu kumuona CEO (hubby wake ) bila kupitia kwake. Mama mmoja mtu mzima aliingia ofisini kumuona CEO wife kamshusha juu mpaka chini eti kwani mi siwajuhi nyie masugar mummy mnajidai ooh contract contract huku mnaamanisha contact. Yani huyu mama alikasirika akamwambia CEO kama unataka kufilisika mwache mkeo aendelee kuwa GM.

Kuna siku moja wife alitoa kali eti amemfata mume wakati wa lunch; hapo alikuwa mjamzito na keshatimuliwa u GM na mumewe baada ya kumuona nuksi (though alitumia kigezo cha kuwa ana mimba apumzike home); eti anamwambia mumewe; "mi japo nina mimba nina shepu nzuri kuliko staff wako wote wa kike. Lol. Mme anacheka tu.

Ni long story ila walivyo act unajikuta na wewe unakubali that there are some couples that are real CRAZY in LOVE. Ikanifanya nijue ni kwa nini kuna wanawake wanapigwa lakini hawatoki kwenye uhusiano; wanaume wanaopiga na wenye wivu sana wanajua sana kubembeleza; ssi wa pembeni ni ngumu kuelewa.




Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke mmoja (Mhasibu) amejikuta akilazimishwa na mume wake kuacha kazi kwa kisa cha wivu mkubwa wa mwanaume anayehofia kuwa mkewe anaweza kutongozwa na wanaume. Je, hii ni halali? Wanaharakati wa haki za binadamu na wanawake mnasemaje?
 
heri walivyomkomalia...... Maisha kuna kesho na keshokutwa, itakuaje?


Sasa angalia huyu mwanaume hamrushusu mkewe kwenda hata sokoni....
Kama sio kichaa hiki ni nini?
Huu sio wivu.
Ni ugonjwa

kuna dadangu aliachishwa kazi na mumewe, kisha mshahara wanaomlipa ni kidogo, kwa hiyo atakuwa anamkipa yeye ule mshahara akae home alee watoto. dada akaacha kazi. moto uliwaka siku akina mama waliposikia, mbona alirudi kazini bila ridhaa ya mume
 
Kama ana kipato kizuri cha kutosha, siachi kazi mpaka aniingizie Mil. 100 kwenye account yangu, ili nifanye ishu nyingine, kama business, but kama hataki, atajiju!
Kwani hapo kwenye biashara ndo hataonekana?
 
Huyo mwanaume sio mzima, inawezekana ana tatizo fulani la akili, lakini mwenye tatizo zaidi ni mwanamke anayekubali upuuzi......

Haiwezekani insecurity za mtu zimuharibie maisha, kesho na keshokutwa itakuwaje?

Nasikia mwanaume ndiye anayekwenda dukani. Mwanamke anashinda ndani ya geti, hakuna kutoka nje. Saloon haendi, anakwenda saloon za kiume na mumewe kunyoa na siyo kusuka wala kuset. She has lived such a life muda mrefu, amesha zoea kabisa, na aliona kawaida kuacha kazi. Alihitimu masomo ya uhasibu - Diploma mwaka 2010, akapata kazi mara 2 mumewe kamkatalia, mwaka huu March kapata ajira, juzi kaitema kisa mumewe hataki aendelee na kazi. Hawana duka wala kibanda, mumewe ni Mwalimu wa sekondari
 
wala hii haihitaji harakati za haki za binadamu, huyo mwanamke kiazi. Anatakiwa afanya harakati za haki ya mhasibu.
Huwezi kumwita binadam mwenzio kiazi kisa kakubali ama pengine ameshauliana na mme wake juu ya hilo! Tatizo lako nn?? wao wanajua jinsi watakavyo mudu maisha yao ili ndoa yao idumu na iwe na amani! ama wewe unataka kila unachokiamini ama kukifanya wewe na wengine iwe hivyo hivyoo?? acheni hizo!!!!
 
Wewe unawajua wenye wivu. Unadhani amekukataza kufanya kazi ndio atakubali ufungue biashara achilia mbali siijuhi umuage unaenda China kuchukua mzigo. Yani wewe ni wa ndani full stop.

Kama ana kipato kizuri cha kutosha, siachi kazi mpaka aniingizie Mil. 100 kwenye account yangu, ili nifanye ishu nyingine, kama business, but kama hataki, atajiju!
 
Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke mmoja (Mhasibu) amejikuta akilazimishwa na mume wake kuacha kazi kwa kisa cha wivu mkubwa wa mwanaume anayehofia kuwa mkewe anaweza kutongozwa na wanaume. Je, hii ni halali? Wanaharakati wa haki za binadamu na wanawake mnasemaje?
Hio ni sawa kabisa.Suala hilo ni makubaliano yao wawili ama pengine ni kutii amri ya mume ambae siku ya ndoa aliahidi kumtii milele.mimi sioni tatizo kabisa,acha wakae na amani ktk ndoa yao,pengine hio kazi isingeleta amani ktk ndoa yao!! big up!!!
 
huyo mke kama kaacha kazi, nitamshangaa sana........... ulisomeshwa na huyo mume? ya mbele huyajui, huyo mume kesho aki-dead?
huyo kaka anafikiri nyumbani hakuna wanaume wa kuweza kumtongoza huyo mkewe, watongozaji wapo ofisini tu?
Wala usimshangae hio ni hali ya kawaida tu kwa wapendanao kwa dhati.kama ya mbele huyajui mbona unamtangliza mume kufa? je akianza mwanamke? kama hatuyajui ya mbeleni ni bora kunyamaza.
 
Mnaolalapika hapa na kutoa maneno ya kumkejeli huyo mwanaume "you are juc talkn bt you cant walk th talk" if u kn0w wat i mean,.Huyo mwanamke kakubaliana na wivu wa mumewe ndo maana yupo mpaka sasa kwenye ndoa,mnajua kipi kizuri zaid mumewe anampa kikamfanya asiskie wala kufanya harakati kama mnazohubiri??If i agree s0methn with my wife no mattr how "oppresive" it may lo0k like to you hata ukiandamana haitakusaidia kwan hayakuhusu...Mh walimwengu bhana!!!.Lol
Hapo umemaliza kabisa,haiwezekan wa2 hapa wanapiga kelele kwa maneno ya kuwakejeli hao wanandoa! huwezi jua huyo mke anapata nn kwa huyo mme kias kwamba naogopa kumpoteza! after all mambo ya ndoa ni makubaliano yao wawili, nyie wa nje mtasema sana,wao wanajuana!!!
 
Kama ana kipato kizuri cha kutosha, siachi kazi mpaka aniingizie Mil. 100 kwenye account yangu, ili nifanye ishu nyingine, kama business, but kama hataki, atajiju!
Subiri tu utaingiziwa tu,tena kwenye akaunti yako.kama ndo unaishi kwa conditional love!
 
Kama Mumewe anakipato kizuri na anaweza kumfungulia biashara sioni tatizo lakini wivu halafu mivuko inatumandu,atokomee zake.
Tena akimfungulia biashara ahakikishe wateja wake ni wa kike tu. Vinginevyo atakua amewapa access wanaume wengi zaidi kuonana na kuongea nae.
 
Hilo swali atalijibu vizuri ikitokea mume amefariki halafu ndugu wa mume wakamtupia virago nje.

Kumbe huo ndio mtazamo wa ndowa utakayoifunga wewe? Ina maana hao ndugu zako ndio watakaokuwa warithi wa mali mlizochuma wewe ,mkeo na watoto wenu? Basi kazi pevu!
 
Hata wewe acha hizo.

We ulitaka nicomment wewe unavyofikiri?
Na wewe ungeipita comment yangu kama vile hujaiona, au wee unataka kukipangia kichwa changu mambo ya kuandika?

Anza wewe kuacha hizo na mie ntafuata.

Kun.ya an.ye kuku akin.ya bata kaharisha, inahu?

Huwezi kumwita binadam mwenzio kiazi kisa kakubali ama pengine ameshauliana na mme wake juu ya hilo! Tatizo lako nn?? wao wanajua jinsi watakavyo mudu maisha yao ili ndoa yao idumu na iwe na amani! ama wewe unataka kila unachokiamini ama kukifanya wewe na wengine iwe hivyo hivyoo?? acheni hizo!!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke mmoja (Mhasibu) amejikuta akilazimishwa na mume wake kuacha kazi kwa kisa cha wivu mkubwa wa mwanaume anayehofia kuwa mkewe anaweza kutongozwa na wanaume. Je, hii ni halali? Wanaharakati wa haki za binadamu na wanawake mnasemaje?

Pengine anaenda kupewa mtaji wa kazi 'itakayomridhisha' mumewe kwamba hataweza kuibwa na wakora
 
Katika hali isiyo ya kawaida mwanamke mmoja (Mhasibu) amejikuta akilazimishwa na mume wake kuacha kazi kwa kisa cha wivu mkubwa wa mwanaume anayehofia kuwa mkewe anaweza kutongozwa na wanaume. Je, hii ni halali? Wanaharakati wa haki za binadamu na wanawake mnasemaje?

Huyo mwanaume ni mkazi wa bara au visiwani?
 
Nasikia mwanaume ndiye anayekwenda dukani. Mwanamke anashinda ndani ya geti, hakuna kutoka nje. Saloon haendi, anakwenda saloon za kiume na mumewe kunyoa na siyo kusuka wala kuset. She has lived such a life muda mrefu, amesha zoea kabisa, na aliona kawaida kuacha kazi. Alihitimu masomo ya uhasibu - Diploma mwaka 2010, akapata kazi mara 2 mumewe kamkatalia, mwaka huu March kapata ajira, juzi kaitema kisa mumewe hataki aendelee na kazi. Hawana duka wala kibanda, mumewe ni Mwalimu wa sekondari


Jamani huyo mdada aache ujinga kabisa, afunge mkanda afanye kazi, mumewe kama hataki aachane naye aone kama life haijawa mzuri kwake. hayo mambo yalishapitwa na wakati ndio maana wenzake tunafanya kazi, kutongozwa mwanamke ni jambo la kawaida, upende mwenyewe useme Yes asipotongozwa utaenda kwenye maombi kujihisi una kasoro.
 
Back
Top Bottom