Ndugu we soma maliza,acha kulala.Wenzio twataka kuja hapohapo.Hebu nisaidie kuulizia kozi ya Diploma in Librarianship ipo mwezi July?Maana kwenye web sioni.
Inasemekana kuwa mtihani wa darasa la saba mikoa ya Njombe na Iringa umerudiwa kusahihishwa na kupata shule mpya zinazoongoza badala ya shule ya BAKITA ni St.Benedict.Je inamaana njia zakisasa zakusahihishia nazo hazifai
Mimi niko Njombe kata ya Ramadhani.Naomba kujua gharama zote ninataka kuingiza umeme kwaenye nyumba ambapo nimeshafanya wiring na ipo umbali wa chini ya mita 30 toka ilipo nguzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.