Live updates 02/02/2014:yanga vs mbeya city

Live updates 02/02/2014:yanga vs mbeya city

Haraf hawa Mcc, si ndio walio tufanyiaga fujo kule kwao?
 
Ndio washapoteza mualekeo hawa, ugumu unakuwa siku ya kuanza tu ukishanogewa na radha inakuwa kama pombe ya ngomani kila mtu anajichotea tu.
 
Back
Top Bottom