💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Nyimbo zake nzuri sanaa
Mchana niliiona video akijidhalilisha kwa Mwijaku nikaona ni Bwege kama maBwege wengine
NISAMEHE KAKA.
Ungetuma ngoma zake nyingine😆😆
Nakumbuka kipindi Yanga wanapitia magumu walikuja na msemo wao wa kujipa moyo "Tuliipenda wenyeweee acha ituue" asante sana @Kigelegele_Yanga ulitupa ujasiri wa kuipenda timu
I love you Yangaaa
Wakuu kati ya ngoma nazopenda kusikiliza sana mojawapo ni ya Rado kiraka-Usiulize, producer alifanya kitu roho inapenda sana.
Nick Dizzle apewe maua yake Wallah, 2008 hiyo.
Zipo nyingi ila hii inanikosha vibaya
Habarini wana jamvi.
Sina mengi ya kuelezea ila hii issue ya BETTING tu, nimejitolea maeneo fulani na kwa mwezi naingiza 250K lakini nikiangalia maendeleo yangu tangu 2022 ni sawa na ziro, sina matumizi mengi kwa siku (hayazidi 4000/=) ila nimekuwa addicted na BETTING yaani siku haiishi bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.