imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,403
Practice what you preach.Fuateni maneno yangu si matendo yangu, alisikika paroko akinena!
Practice what you preach.Fuateni maneno yangu si matendo yangu, alisikika paroko akinena!
Samianize ni kunguanize 0.001Gwajimanize 99% Samianize 1%
Chura kiziwi lazima masikio yake yazibuke!! Alivyokuwa hana akili atamalizia hasira zake kwa kuvunja Baraza la mawaziri na kula matapishi yake kwa kuwateua tena wakina January Makamba!Gwajimanize 99% Samianize 1%
Practice what you preach.
Usichanganye mada tafadhaliWananchi tukishajua siasa ni mchezo wa fursa akili zitatukaa.
Yuko wapi Shangazi Fatma Karume?? Tuliemsifu kwa kuukemea mliouita udikteta wa Magufuli???
Nileteeeni Gwajima haya sasa ndo huyoGwajimanize 99% Samianize 1%
Anayosema Gwajima ni kweli so Kila Mwana CCM anakubali utekaji,si Kila polisi , Jwtz au TISS wanafurahi vitendo hivi ni kikundi Cha wachache na masirahi Yao ya kisiasa na kifisadi tuWay forward kaitisha gwajima silaha zote kuvaliwa pasipo exception. CCM haitaki utekwaji, si polisi wala dola. Kuna mtu na huyo ndiyo mbaya wetu.
Isolate the enemy what is the use of battling everywhere and including the dead?
We have to grow up.
Vita siyo lelemama! -- alisikika Julius (RIP) akimwaga sera, art of war.
Tunahitaji ma-Gwajima wengi zaidi nchi hii!Bila shaka ukimaanisha:
"Hapa ni watekaji dhidi ya watekwaji!"
Ngoja tutambuane.
Tunahitaji ma-Gwajima wengi zaidi nchi hii!
Anayosema Gwajima ni kweli so Kila Mwana CCM anakubali utekaji,si Kila polisi , Jwtz au TISS wanafurahi vitendo hivi ni kikundi Cha wachache na masirahi Yao ya kisiasa na kifisadi tu
Acha yawekwe hadharani tuujue ukweli.Chura kiziwi lazima masikio yake yazibuke!! Alivyokuwa hana akili atamalizia hasira zake kwa kuvunja Baraza la mawaziri na kula matapishi yake kwa kuwateua tena wakina January Makamba!
Bibi Kizimkazi kachanganyikiwa na gen Z wa Kenya Bado wanamfanyia utafiti wa account zake za Dubai na Oman ili waziweke hadharani! Kaeni mkao wa kula!