Ukiwa unasajili mnufaika MPYA ukimaliza HESLB itakupa Control Number kisha lipa kwa kisha malipo ya serikali...kisha namba ya malipo hapo bandika control number
Mapungufu ni mengi sana katika Tozo za kielektroniki. Mfano. Kwa NMB insufficient balance transaction inatozwa 600 wakati mteja hajatimiza azimio lake. Wakati huo huo M-Pesa na Wengineo hawana tozo kwa miamala isiyotimiza azimio la mteja.
Kwa ujumla; Mpango huu wa tozo ni kurupuko kubwa kuwahi...
Natumaini mu wazima wa Afya. Poleni Sana wenzangu walio dhaifu kiafya.
Naomba Mnitoe tongotongo wadau wangu. Kwa Muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Usajili wa Chuo cha Ufundi. Lengo langu lilikuwa ni Kutaka kujua gharama za Usajili kwa mchakato mzima.
Zaidi ya yote, nikipiga simu Nacte hawapokei...
Darasa I-III
Uraia, Kiswahili na Hisabati
IV-VII
Hisabati, Kiswahili, Historia na Ufundi stadi (LEVEL 1)
Form I-IV (LEVEL 2-3)
Hisabati, Kiswahili, Historia na Ufundi stadi
Form V-VI
Hisabati, Kiswahili, Historia na Ufundi stadi (LEVEL 4-6)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.