Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,889
- 4,294
Mkuu haya yote yanawezekana tatizo ni utekelezaji yaani kuanzia ngazi ya chini Hadi ya juuMimi kwa mawazo yangu,
Kwanza masomo yapunguzwe. Tukianza na elimu ya msingi, wasome masomo matano tu. kwa mchanganuo ufuatao:-
1. LUGHA [Kiswahili na kiingereza]
2.MAARIFA YA JAMII [Urai, Historia, na elimu ya mazingira na kujitambua]
3.STADI ZA KAZI [Kilimo, uvuvi, ufugaji na ufundi]
4.Sayansi [Jiografia,baiolojia,kemia na fizikia + kompyuta kozi(introduction)]
5. HESABU/HISABATI na BIASHARA
Kwa sekondari nako masomo yapunguzwe.
Wakimaliza shule ya msingi, wanapopangiwa kwenda sekondari basi wa speshelaizi na kombinesheni zao kabisa, yaani ukitoka shule ya msingi unapangiwa kwenda arts, science au business.
Masomo yawe kwa mchanganuo ufuatao:-
1.ARTS [LANGUAGE( kiswahili na kiingereza/kifaransa/kiarabu), + CIVICS and HISTORY + BASIC MATHEMATICS]
2. SCIENCE[PCM,PCB,PGM, CBG n.k + PURE MATHEMATICS]
3. BUSINESS[ECONOMIC, COMMERCE and ACCOUNTANCE + BASIC MATHEMATICS]
4. COMPUTER COURSE iwe kwa wote arts, science na business
-Kingine miaka ya kusoma nayo pia upunguzwe.
Kwa shule za msingi wanafunzi waanze shule wakiwa na miaka 7 baada ya kumaliza elimu ya awali ambayo kwasasa nayo pia iwe ya lazima.
-Shule ya msingi wasome miaka mitano ya darasani na mwaka mmoja wa stadi za kazi wakisubiri kuingia sekondari.
-Kwa sekondari wa wasome miaka minne ya darasani na mwaka mmoja wa stadi za kazi wakisubiri kuingia chuo.
-Baada ya hapo, chuo wasome miaka miwili/mitatu darasani mwaka mmoja kazi kwa vitendo.
Hayo ndo mawazo yangu.
Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app