Recent content by Gurti

  1. G

    JamiiForums Tanzania Nampongeza Aweda kwa kujilipua na hoja ya madawa ya kulevya ya (Mengi vs Nzowa )ITV , lakini....

    Msingida, Uko sahihi Aweda anapaswa kubaki Dar, Mbulu si kuna wengine? Yeye amsaidie Mnyika na Mdee hapa mjini.
  2. G

    JamiiForums Tanzania Madiwani CHADEMA wafichua ufisadi wa Bilioni 11 unaohusisha viongozi wa CCM, TAMISEMI na Hazina

    Wewe inaelekea una hasira na Aweda, Njoo Mbulu kwetu, fika mpaka hadi kata ya Haydom halafu ndo utakuta Aweda amesha jenga nyumba ya uhakika tena kubwa sana. Na hii ndo sababu huku wanajua siku moja atakuja kugombea ubunge japo nasikia yeye anataka kugombea Dar. Lakini kwani kukosa nyumba ni...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Wanamalumbano ITV watia mchanga kitumbua cha 'urais' cha Lowassa, wauchana mwenge wa uhuru

    Mbona mimi sioni tatizo mkuu, si ni kweli Lowasa anaimba bomu la ajira na hafanyi lolote ila anatumia hoja hiyo kusaka urais. Hofu yako ni Aweda kushughulikiwa? Mimi sidhani, wawaache akina Mbowe waanze kumfikiria Aweda, Mwache awachape ktk majukwaa ya JF na ITV. Hawatamdhuru madara yake madogo...
  4. G

    JamiiForums Tanzania CHADEMA waelezea kilichotokea siku ya tukio la kuuwawa kwa Daudi Mwangosi

    The end of ccm is now.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

    Nadhani wanatumiwa kubalisha mjadala wa kitaifa ambao umewazidi uzito serikali. Hakuna kingine. Wanatudanya kwa kutumiwa na serikali ya ccm
  6. G

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa, Mbowe na Godbless Lema wakamatwa

    Mkuu tuweke pembeni ushiriki wake ITV, tujadili hoja hii inayohusu mustakabali wa Taifa letu. ametaka abadilishe kuwa iko confirmed kuwa wako central. Wamekamatwa, ama wamejipeleka si hoja. Hoja ni kuwa wako central na polisi wanawahoji.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

    Mkuu naona unairudia hii hoja mara nyingi. Hebu tuambie huko alikoenda (kusettle nje ya mahakama) madai yake yalikuwa ni nini? Na kwa nini Slaa alikataa upatanisho huo, kama hiyo story yako ni kweli? Unadhani Slaa ana akili ndogo sana kiasi hicho! Hivi yeye angetulia kimya nini kingeharibuka...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

    Babako ana wake wangapi? Jibu umeulizwa. Mke wa mtu kamkataa mumewe, kampenda Slaa. Wewe kitu gani kinakuwasha?
  9. G

    JamiiForums Tanzania Rose Kamili aizuia ndoa ya Dr. Slaa mahakamani

    Naomba kukumbushwa hivi Mzee Nelson Mandela anayeheshimika sana duniani kote, ameshafunga ndoa na huyo mke wake wa tatu aliye naye?
  10. G

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    Dr Slaa ni mwanaume wa Shoka, wakamtoe meno na kucha waone kama nchi haijawaka moto. Pumbavu sana.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Mahekalu ya Vigogo kuvunjwa ufukweni

    Nahisi kuna mtu analengwa, why 2012 and not 2005 or 2011? kwani alianza urais mwaka 2012? Nijuavyo mimi, maamuzi ya serikali hii ni subjective always, not objective. Tusubiri tuone.
  12. G

    JamiiForums Tanzania Crisis replacement of opposition party - chadema

    Ccm itakuwa chama kikuu cha upinzani.
  13. G

    JamiiForums Tanzania My Hypothesis on CHADEMA/Zitto’s Shadow Budget Blunder

    Sina ushahidi lakini urafiki wa uliowazi hadharani katiy ya Zitto na Kikwete unaniaminisha kuwa zitto anatumiwa na ccm. Nukta!!
  14. G

    JamiiForums Tanzania Live ITV mada: Bajeti ya 2012/2013 je imekidhi matarajio ya wengi??

    Aweda hilo alilielezea vizur sana la Chenji ya radar pale Itv, lakini sijafurahi kusema wabunge ni muhuri wa serikal.
  15. G

    JamiiForums Tanzania Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

    Bob Nyanga Makani ni mmoja wa waasisi wa CHADEMA, ni Msukuma, Mwislamu kutoka Kutoka Shinyanga na katibu mkuu wa Kwanza wa CHADEMA. Katibu mkuu ndiye mwenye siri zote Chama, ndiyo anakaa na mafaili yote, ni mwajiri wa wafanya kazi wa makao makuu nk. Nimejifunza mambo yafuatayo. Mosi, Kama...
Back
Top Bottom