Mtatafuta sana kiki mwaka huu ..wakati WA kuwachangia chadema mlikuwa wapi?mlitoa shilingi ngapi? Chama kimekwisha..no Sera..no Dira..kinakwenda na matukio..Mara kiki za misibani kugombea mic..shame on you ..I wish Dr slaa angekuwepo
Please kama we sio mkazi WA Dodoma usiongee usicho kijua kuhusu CDA..pia RAIS alihaidi kuivunjo alipokuja kwenye kampeni so usijifanye unajua zaidi acha unafiki hakuna MTU WA Dodoma anaotaka cda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.