Recent content by gungui

  1. gungui

    JamiiForums Tanzania DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    dah siku mbaya sana kwa mustakabali wa taifa hili
  2. gungui

    JamiiForums Tanzania ‪Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema akamatwa na Polisi kwa madai ya kuzidisha muda wa mkutano‬

    mm sio mwanasiasa lakini najiuliza tu.....hv polisi watawezaje kuthibitisha kuwa lema alizidisha muda mahakama??
  3. gungui

    JamiiForums Tanzania Mchumba mpya wa Wolper achafua hali ya hewa

    anaegongwa anaitwa shoga na mgongaji ni basha......anaegongwa na kugonga anaitwa ms****ng.... fresh.
  4. gungui

    JamiiForums Tanzania Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    hahaaaaaa,mwakyembe anasema tuache ramli tumsubiri kesho utakuja na wahusika kwani ni wizara yake
  5. gungui

    JamiiForums Tanzania Asilimia 65 ya wana JF wanakaa dar

    mwanza
  6. gungui

    JamiiForums Tanzania Club ya Simba yakomboa nyasi zake za Bandia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

    hahaaaa......!? sawa prof...
  7. gungui

    JamiiForums Tanzania Club ya Simba yakomboa nyasi zake za Bandia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).

    sasa unataka tukaweke mabomba ruvu ili tupande za asili?
  8. gungui

    JamiiForums Tanzania Hebu tulinganishe nguvu za kijeshi kati ya Kenya, Uganda na Tanzania.

    dah! we jamaaa kwa porojo...!? sijaona ulicho andika zaidi ya stori za kwenye kahawa.
  9. gungui

    JamiiForums Tanzania Hebu tulinganishe nguvu za kijeshi kati ya Kenya, Uganda na Tanzania.

    ukimgusa israel maana yake unapambana na USA, ktk hiyo vita israel alishambulia ndege zikiwa ground na kwa msaada wa USA,hivyo vya uganda wakina museven walikuwa wanafanya nn upande wa tz?uganda ilikuwa imegawanyika ndani kwa ndani na bado tulikutumia almost two years.
  10. gungui

    JamiiForums Tanzania Hebu tulinganishe nguvu za kijeshi kati ya Kenya, Uganda na Tanzania.

    hahaaaa kwa hiyo kwenye vita techonology haisaidiii,unataka nambia tz tunasifika kwa askari wetu kupasua mawe na kichwa au kukalia misumary...?,nacho jua tz tupo nyuma sn kivita coz tunatumia silaha duni sn...!
  11. gungui

    JamiiForums Tanzania Dada anusurika kufa kwa kujitupa baharini leo akitoka Dar kwenda Zanzibar

    bro hakuna anaejua kinachofata baada ya kifo zaidi ya kutishana tu.....,coz hakuna alienda akarudi zaidi ya bla bla tuuu! unaweza ukute huko ni full bata na tunajichelewesha tu.....
  12. gungui

    JamiiForums Tanzania Dada anusurika kufa kwa kujitupa baharini leo akitoka Dar kwenda Zanzibar

    tumia scientific proof na sio hivyo vitabu
  13. gungui

    JamiiForums Tanzania Dada anusurika kufa kwa kujitupa baharini leo akitoka Dar kwenda Zanzibar

    hebu thibitisha hii kauli yako( usilete hadithi)
  14. gungui

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM Rufiji apigwa risasi na kufariki dunia

    bro ktk hayo maeneo ndio kwetu though nipo mwanza kikazi,mtu yoyote anaetoka huki anaweza connect dots kujua source and roots ya hayo matatizo....sema tu system yetu na intellegecia haipo smart as we would like.
Back
Top Bottom