SALUM S HEMED
JF-Expert Member
- Mar 4, 2016
- 1,437
- 1,860
Angejitupa pale msasani angeipata fresh mawimbi ya pale chombo kisingeweza kusimama kwa haraka...maiti ingepatikana ununio j3 samaki wameshakula macho na sidiria yote
Nakonaga tu maeneo unapiga tu majunguInawezekana,
-afu ujue nakumiss
bro hakuna anaejua kinachofata baada ya kifo zaidi ya kutishana tu.....,coz hakuna alienda akarudi zaidi ya bla bla tuuu! unaweza ukute huko ni full bata na tunajichelewesha tu.....Ok lets go..Binadamu WA kwanza alikua Nyani kisha akabadilika akawa binadamu,sawa au si sawa??
Hahaha....Rescue exercise...... Wasitutapeli
Acha kukariri wewe. Kwahiyo wa Zanzi Bar wote wanajua kuogelea?huyo dada angejirusha wakati wa kurud dar angekua keshakufa wakati wa kurudi dar mawimbi yanakua makubwa kuliko wakati wa kwenda zanzibar na pia huyo ni mzawa wa zanzibar hivyo anajua kuogelea
asilimia kubwa wanajuaAcha kukariri wewe. Kwahiyo wa Zanzi Bar wote wanajua kuogelea?
Makubwa haya loh siku yake ilikuwa haijafika tu ya kutoka duniani kumbe baharini unaweza kuelea kabisa
Hata mkeo akishindwa kuzaa utasema ni MagufuliItakuwa mambo ya ajira za magufuli
Waza pumba tu lkn ana miaka 16 tuHalafu utakuta ana vyeti original na kazi hapati ameona bora atangulie