swala sio kuvunja, issues kwa nini uharibu kitu cha gharama namna hiyi. Alafu ile ni mali ya umma. Barabara inaweza kuhamishwa!!
Magufulu yuko mechanical sana, barabara inaweza ikifika pale ikafanyiwa mapambo lile jendo likawekwa katikati kama round about fulani hivi na pakapandwa na garden...
principle ya wanajeshi especialy wa vyeo vya juu kuanzia major, kwanza hawaogopi kuuwa au kuamrisha mauaji. Pili wakichukua au kupindua dola cha kwanza ni kuwamaliza wale wote aliokuwa nao karibu maana wanajua mbinu na siri zake.
Kagame anafanya the same maana kawauwa wengi na pengine atajiona...
Kawaulize M7, Kagame na Wamsumbiji watakwambia hakuna raisi mzuri kama JK Nyerere maana aliwasaidia wote kuingia madarakani na sasa wanatuzidi kiuchumi!!!
aisee 25 kwa mdada unaelekea kuzeeka, jitahidi hope utapata, ila punguza vigezo hasa vta dini na umri. dini kubali yoyote ilimradi mtu awe mwelewa na umri weka labda max 40. We boyz ktk age ya 28 na 30 ndo hasa mtu anajitahidi ku set maisha, utakuta ndo amemaliza chuo amepata kazi mshahara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.