High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,083
Umeona mkuu aweke picha tuone alivyo maana mashine zingine hazina spea
A kumbe used tayari!loading........
A kumbe used tayari!loading........
kiukweli mda wangu umefika ss wa kutaka kustick na one guy atakaenipenda nimpende mpaka kufa!sifa awwe anajitambua,smart boy,employed or self employed,hofu ya Mungu ila awe mkristo!nimeshawahi kuwa na mvullana na nikastay naye about a year n above tukaachana!nimekaa mda nafanya mambo yangu ss ule mda wa kuitwa baby na mm nauhitaji na nimemis!
Utoto unakusumbuwa ukikuwa utayaelewa maisha.
Kumbuka hata Mama yako aliyekuzaa Baba yako akifa watu wanaoa vilevile. Acha kashfa kid.
pole mpendwa, wazo lako sio baya ila unafikiri kijana utakayempata hapa atakuwa na haja kama ya kwako? kwasababu haumjui mwema ni yupi, kwa kufanya hivi siutakuwa wewe ndio umemshawishi kijana akuoe? je, mwisho wake unafikiri utakuwaje? Mpendwa wazo langu ni hili tambua hatua unayoiendea ni hatua kubwa ktk maisha na ndiyoitakayo changua uwe mzazi wa namna gani. haiwezekani nikaja kwako leo nawewe ukanikubalia kuwa mumeo, namanisha mke/mume hatoki mbali yaani lazima ww au rafiki zako au ndugu zako wawe wanamfahamu tabia yake, je' kwa hapa unaweza kumfahamu mtu tabia yake kweli. Mimi naona kama kwa hapa unataka kuyachezea maisha yako kamari
kuwa makini mpendwa, na
umtangulize MUNGU.
kiukweli mda wangu umefika ss wa kutaka kustick na one guy atakaenipenda nimpende mpaka kufa!sifa awwe anajitambua,smart boy,employed or self employed,hofu ya Mungu ila awe mkristo!nimeshawahi kuwa na mvullana na nikastay naye about a year n above tukaachana!nimekaa mda nafanya mambo yangu ss ule mda wa kuitwa baby na mm nauhitaji na nimemis!
vp wangu umefanikiwa