Recent content by Gugleman

  1. Gugleman

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Kama upo Dar nenda Mwenge TRA office kuna office pale nje wanatengeneza vibao
  2. Gugleman

    Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

    Wanadai ni effects za covid 19 na containers hazipatakani... Check hii link . https://www.cnbc.com/2021/11/19/surging-shipping-costs-to-drive-consumer-price-inflation-unctad-says.html
  3. Gugleman

    Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

    Gharama zimebadilika sababu kubwa ni nchi yetu tunategemea sana vitu kutoka nje... sasa sea freight charges have gone so high compared to previous years na bado zinaongezeka hii imepelekea kuongeza gharama kwenye malighafi na bidhaa zinazoingizwa nchini ili kucover ongezeko hilo... mwanzoni mwa...
  4. Gugleman

    Nilichomfanya X wangu sijui huko alipo atakuwa anajisikaje

    Kwai yo unatembea na laki 4 kwenye wallet afu hauna gari? Pia hiyo wallet ni kubwa kiasi gani mpaka laki 4 zitoshe...
  5. Gugleman

    Mke wangu amejifungua lakini maziwa hayatoki

    Hongera kwa mtoto.... Atumie.. 1. Uji wa pilipili manga 2. Ale sana mchemsho wa kuku au ndizi 3. Supu ya Nyanya chungu... Hapo maziwa lazima yatoke tena kwa wingi sana.... Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Gugleman

    Miaka kumi natumikia madaraja mawili nafikiria kuacha kazi

    Umetisha mkuu.... well said Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Gugleman

    Siku ya Mashoto Duniani: Wana JF wenzangu tunaotumia mkono wa kushoto tukutane hapa

    Mimi mwenyewe ni mashoto... Ni kweli mashoto tuna akili ila sasa tuzipeleke kwenye kutengeneza hela...
  8. Gugleman

    Siku ya Mashoto Duniani: Wana JF wenzangu tunaotumia mkono wa kushoto tukutane hapa

    Mimi mwenyewe ni mashoto... Ni kweli mashoto tuna akili ila sasa tuzipeleke kwenye kutengeneza hela...
  9. Gugleman

    Sitongozwi, nini tatizo?

    Just relax... Kutongozwa sio issue as long as you know what you want.. Have a standard and let someone of value come and make life with yu!!
  10. Gugleman

    Apple yashinikizwa kuifungua simu

    Mkuu upo vizuri... Hawa jamaa wanajua sana kucheza na akili za bongo lala, mchina anakuja juu sana sasa wanatafuta namna ya kuji-differentiate kwa styre za kitofauti kbs
  11. Gugleman

    Ajira za uhasibu

    We UDSM ya wap huyu kasoma... Hakunaga accountant kilaza anaemaliza ata CPA hajui n nn... Tafuta kz fanya interview hakuna vya rais rais siku hz!! Juhudi zako zitakufikisha unapotaka ukitaka pm utangoja saana
  12. Gugleman

    Mch Gwajima atoa "comments" zake juu ya Baraza la Mawaziri

    Gwajima in Mchungaji asiependa unafki kwenye ukwel anasema na wakivurunda ataongea pia... hii ndo aina ya wachungaji tunaowataka sio wanaosema pokea nyumba cjui safar na kz huna
  13. Gugleman

    Hadi najishangaa kwa kweli, amerudi halafu nimeharibu tena

    una mke mwenye akili sana ila ww n super Mburura...thats de name dat u deserve
  14. Gugleman

    Lakini kuna kaukweli flani katika hili....hebu pitieni na nyie wadau

    kuna wazungu n vichwa maji super mbururaz... mm hua nasema kitu kibaya alichotufanyia mzungu si kututawala ila kutufanya tujione we are inferiors and they are superior race so tukajenga dependency n everything ila kizaz cha sasa tunabadilika sasa hv ... I'm 20z but nimeshanunua kiwanja cha...
Back
Top Bottom