Side effects: kupata makunyanz mapema, magonjwa ya ngozi, na majeraha kushindwa kupona kwa wale wanaojichubua... Pia gharama ambazo ni unnecessary.. Wengine wanajiuza just for that reason.. U don't need to be artificial to look beautiful, & mwanaume mwenye akili tulivu huwez kumpata kwa njia...
Jamani me nakushaur umwone doctor (specialist/gyno) atakusaidia.. Wenyewe wanajua tareh zipi za kupata mtoto wa kiume au wa kike, pia mapacha kwa kuangalia mzunguko was hedhi wa mwanamke wako.. So, try that kaka..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.