Kwa waliozaliwa tarehe hizi

Kwa waliozaliwa tarehe hizi

Simjui ndo nani tena mjengoni hapa?

Maaskaariiiiiiii heeeee?

Ndoaaaaaaaa za kikweli kweli au za uongo?

ndoa za ukweli mama!! ohooo!! na wanaume tulivyo wachache humu... ni bora uning'ang'anie uwe mke wa 8!

ni onyo tu.. ukigoma hupati mume asilani!!
 
rr.jpg
safi.. tupe na mwezi tukuweke kundini kabisa!
 
ndoa za ukweli mama!! ohooo!! na wanaume tulivyo wachache humu... ni bora uning'ang'anie uwe mke wa 8!

ni onyo tu.. ukigoma hupati mume asilani!!

Jamani, wanawake tupo wengi kuliko wanaume.. Iweje mjengoni wanaume ndo muwe wengi???
 
mwangaruka mayo

kwa wale marafiki waliozaliwa tarehe hizi 8,18,28 (Hifadhini) wangependa
kuona tabia zao zinaoendana na wao waliovyo katika tarehe zao hizi.

Utafiti uliofanywa unaonesha wengi waliozaliwa tarehe hizi wanakuwa
na mambo yafuatayo:

Huu ni utafiti tu na sio mtazamo wangu marafiki nanyi mwaweza toa yenu
angalieni lugha isiwatishe hapa nimenukuu mahali fulani:




AGE CHARACTER : 8, 18 na 28
* Ambitious and serious
* Loves to teach and be taught
* Always looking at people’s flaws and weaknesses
* Likes to criticize
* Hardworking and productive
* Smart, neat and organized
* Sensitive and has deep thoughts
* Knows how to make others happy
* Quiet unless excited or tensed
* Rather reserved
* Highly attentive
* Resistant to illnesses but prone to colds
* Romantic but has difficulties expressing love
* Loves children
* Homely person
* Loyal
* Needs to improve social abilities
* Easily jealous


Nanyi mwaweza kuonesha mawazo yenu hapa

KARIBUNI SANA MARAFIKI



Duu km uchawi vile..ni kweli niko hivo.
 
Rafiki huyu Excel anatutishia kabisa hapa mjengoni sijui kwanini
Ctaki mume Excel, nashangaa statistics za mjengoni.. And pls tell me babu ni nani humu mjengoni.. Maana lady niece anavyotishiwa babu..
 
Last edited by a moderator:
Ctaki mume Excel, nashangaa statistics za mjengoni.. And pls tell me babu ni nani humu mjengoni.. Maana lady niece anavyotishiwa babu..
guen mbona hivi? wageni huwa wanakaribishwa kwa bashasha na matabasamu bana.. we inakuwaje unakasirika?

wewe kama hutaki mume, then poa, kuwa hata na boyfriend sasa.. sawa mtoto mzuri?
 
Last edited by a moderator:
Rafiki huyu Excel anatutishia kabisa hapa mjengoni sijui kwanini

Achana naye huyo rafik, na huyo babu anavyowapa watu presha ndo basi tena.. Excel anataka watu tuwe na ndoa za lazima.. Hatutaki magumegume...
 
Last edited by a moderator:
Ukimpata wa tarehe hizo ndani ya ...fulu mautundu na mabashasha lol!
 
Back
Top Bottom