Mkuu unaijua Chelsea kitambo ila Kuna mambo huwa hufatilii huyo kocha unaye msema alifukuzwa kwa matokeo kama hihivi, ila huwa kunaupepo huwa unapita kwa wachezazi huwa wanaharibu maksudi mm nadhani bod au Tajiri kwa sababu ukiangalia Moses, hazad, William siyo mpira wao huo
Haya mambo bhana kila mtu na mtazamo wake kulingana na jinsi alivyo tumeshuhudia Kuna watu wameoana lakini mwanamke anatoka Bila kujificha na ndoa ipo imara na mwingine hawezi kuvulia
Acheni hofu hakuna mtu wa mhimu sana ambaye anaweza kuleta madhara makubwa aliye hama labda usikie mnyika, halima, msigwa, Lema, pr j, mbilinyi, na wengine makamanda wa kweli lakini Hao wachumia tumbo wasepe tu.
Wapo lakini wamepungua sana, tofauti ya wanawake wa Zamani na sasa ni kuwa wanawake wengi wa Zamani waliona fahari kuolewa na wengi walikuwa hawajishughulishi sana na ajira hivyo mme ndiyo ilikuwa kila kitu Hali hii ilisaidia sana kuwafanya kina mama kuwa waminifu na watii, hata sasa Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.