Recent content by grephen22

  1. grephen22

    Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

    ni anga za watu izo mkuu, ebu niwe mtazamaji maana sio poua
  2. grephen22

    Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

    daaah ,, we kibokooo alooh
  3. grephen22

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    daaaaaaaah eti wapakwa mafuta
  4. grephen22

    Kinjeketile Ngwale na mchango wake katika Vita ya Majimaji

    mkuu kuna koo mbili 1. kinjeketile 2. ngwale fatilia kwa makini kinjeketile ni mzaliwa wa ngalambi na kazi yake ni mganga na ngwale huu ni ukoo uliopo mkoa wa lindi wilaya ya kilwa tarafa ya kipatimu kijiji cha ingilito na chumo fika na uulize ukoo huo ngwale alikua chifu na kinjeketile...
  5. grephen22

    Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

    born cost ( dar -mtwara) tawakali ( dar - lindi )
  6. grephen22

    Wapenzi wa commedy kati ya Buster keaton,Charlie chaplin na Mr Bean yupi ni zaidi ya wote duniani?

    kuna mambo alikua anafanya ambayo sio wakat wake yaan alikua anafanya vitu vya mwaka 2040 na kuendelea tena mpaka sisi wa leo hii atuwez kuigiza au atakufikilia tu
  7. grephen22

    Charlie Champlin Vs Mr Bean

    typing error
  8. grephen22

    Wapenzi wa commedy kati ya Buster keaton,Charlie chaplin na Mr Bean yupi ni zaidi ya wote duniani?

    ni kweli kabisa kupambanisha cheless chlie champline na wandawazimu wengine watafute vitu vya kulinganisha au kufananisha na mtu huyuu
  9. grephen22

    Charlie Champlin Vs Mr Bean

    Chaless chalie champline ni mwamba wa hizi mambo sijamuona mtu yeyote wa comedy hata huyu Mr bean anacopy na ku pest kutoka kwa mwmba wa comedy Chaless Chalie Champiline
  10. grephen22

    Mwaka wa taabu ni wa taabu. Kipindupindu chavamia Kenya kwa nguvu

    point mzuri sana ... je atueleze yeye japo majina matano ya majilani zake au ndugu zake walio fiwa asitupe mambo ya kusadikika
  11. grephen22

    Je, ni kweli maambukizi ya COVID-19 yamepungua nchini au ni propaganda tu?

    daa mawazo yako yapo vyema mnoo maaana watu wanakua na mawazo ya ovyo bila ya kujua wapi tupo ila utakapo wauliza maswali kama haya huwa wanakosa majibu ila wanalopoka tu yakua watu wanaumwa ukimwambia nipe idadi ya ndugu zako au jilani yako anae umwa wana kaa kimya au wanajibu kwenye uko au...
  12. grephen22

    Wasanii wangu bora wa reggae hawa hapa

    NIPO PAMOJA NA WEWE
Back
Top Bottom