mkuu kuna koo mbili
1. kinjeketile
2. ngwale
fatilia kwa makini kinjeketile ni mzaliwa wa ngalambi na kazi yake ni mganga
na ngwale huu ni ukoo uliopo mkoa wa lindi wilaya ya kilwa tarafa ya kipatimu
kijiji cha ingilito na chumo fika na uulize ukoo huo
ngwale alikua chifu na kinjeketile...
kuna mambo alikua anafanya ambayo sio wakat wake yaan alikua anafanya vitu vya mwaka 2040 na kuendelea tena mpaka sisi wa leo hii atuwez kuigiza au atakufikilia tu
Chaless chalie champline ni mwamba wa hizi mambo sijamuona mtu yeyote wa comedy hata huyu Mr bean anacopy na ku pest kutoka kwa mwmba wa comedy Chaless Chalie Champiline
daa mawazo yako yapo vyema mnoo maaana watu wanakua na mawazo ya ovyo bila ya kujua wapi tupo ila utakapo wauliza maswali kama haya huwa wanakosa majibu ila wanalopoka tu yakua watu wanaumwa ukimwambia nipe idadi ya ndugu zako au jilani yako anae umwa wana kaa kimya au wanajibu kwenye uko au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.