Huwa nawasikitikia mablack wa huko visiwani. Kuna either mwafrika au mwarabu. Sasa utamkuta mtu mweusi alafu anakuambia yeye ni mwarabu. Ukienda kwa waarabu wababaguliwa ukija kwa weusi wanabaguliwa. Yaani hawana utambulusho. Pole zao
Ufanyike utafiti wa ubongo wa mzungu na mwafrika zaidi ya hapo mtakuwa mnajadili siasa ambazo niza uswahilini. Vipimo vya ubongo ndio litakuwa jibu hapa.
Tatizo la umeme limekuwa sugu sana.
Hadi leo mimi sijaelewa ni kwanini hali imekuwa hivyo.
Je, wenye mamlaka ya kututesa kwa kutuweka gizani ni lini watatuhurumia na kubaini kuwa huu umeme ni tegemeo kwa wajasiriamali wengi?
Ila mimi ninamaoni tofauti. Slaa hawezi kuwa mwendawazimu jamani. Mnajua maaskofu nao ni binadamu kama binadamu wengine. Kama kilaini ilipata mgao wa escrow inawezekana pia wapo wengine waliopata mgao wa .............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.