Recent content by Greg50

  1. Greg50

    Hii ndiyo sababu ya ukimya wa CDF MKUNDA

    Ataunganishwa kwenye ile list ya wanyongwaji
  2. Greg50

    GE2025 Utabiri wangu kuhusu maandamano Oktoba 29

    Bado masaa machache
  3. Greg50

    Pata mayai jumla - Arusha

    Inategemea na idadi utakayochukua mkuu. Piga simu kuweka order.
  4. Greg50

    Pata mayai jumla - Arusha

    Nauza mayai organic Arusha. Bei jumla 8,500-11,000/= kwa tray. Ukihitaji piga simu 0763784190
  5. Greg50

    Broiler sio kuku wa kula kabisa!!

    Watu milioni 60 kutegemea kuku wa kienyeji peke yake hawatoshi
  6. Greg50

    Kumbe baada ya ndoa mambo ndo yanabadilika hivi?

    Mpe cheo cha mke mkubwa
  7. Greg50

    Nguruwe mmoja anaweza kukupa hadi zaidi ya TSh. Milioni 1 ndani ya muda huu tu!

    Wadau wa nguruwe tukutane humu 🐷 🐖Nguruwe ChakulaAfya
  8. Greg50

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Wadau wa nguruwe tukutane humu 🐷 🐖Nguruwe ChakulaAfya
  9. Greg50

    Ufugaji wa nguruwe

    Wadau wa nguruwe tukutane humu 🐷 🐖Nguruwe ChakulaAfya
  10. Greg50

    Maswali fikirishi kuhusu bank na wateja

    Pesa wazungusha za wateja au wanakopa benki nyingine au kutoka kwa asset zao. Makato yanachangia faida kidogo, faida kubwa inatokana na riba
  11. Greg50

    Maswali fikirishi kuhusu bank na wateja

    Wanaoendeleza benki ni wanaokopa sio wanaoweka hela huko
  12. Greg50

    Kama Ningekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu chochote Tanzania kingeingia kwenye top 5 ya vyuo bora Afrika ndani ya mwaka mmoja tu

    Tafiti zenye tija zinahitaji pesa mkuu...unahitaji kununua materials, instruments, kulipa watu na kuwapeleka kupresent kwenye majukwaa makubwa duniani.
  13. Greg50

    Kama Ningekuwa Mkuu wa Chuo Kikuu chochote Tanzania kingeingia kwenye top 5 ya vyuo bora Afrika ndani ya mwaka mmoja tu

    Kufanikisha haya unajitaji mtaji, labda serikali ikubali kutoa pesa au mabenki yatoe pesa kwa masharti ya kupata faida kwenye tafiti hizo.
  14. Greg50

    Kwa zama hizi tulizopo urithi wa mashamba na mifugo umeshapitwa na wakati , kwa sasa mtoto wako kama hajui teknolojia ataendelea kuwa mtumwa .!

    Mrithishe mwanao hekari elfu10 za shamba, trekta 5 na vifaa vyake vyote, fuso 5, maghala, duka la pembejeo, mfumo wa umwagiliaji. Halafu tuone atakua vipi mtumwa
Back
Top Bottom