Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

Mkuu mimi ni mfugaji tu na sio mtaalamu wa chakula, na maana niliyotoa ni kwa mujibu wa watu wanaotuuzia hizo concentrate ndio wanatuambia hivo

Kwahiyo kama nimekosea karibu unisahihishe, inawezeana kwa namna moja au ingine tunadanganywa na Hawa wauzaji, kwahiyo kuliko kuishia kucheka ni bora ukatusaidia kutupa ukweli juu ya hizi concentrate
Neno concentrate Kwa Muktadha wa chakula, haujalikosea. Kuna Beef concentrate, Swine/ pig concentrate n.k.

Ni vyakula ambavyo vina "concentrated nutrients", yaani virutubisho vimekolezwa kwa wingi.
 
Mkuu umetangaza biashara yako ikiwa nusu sasa sijui wateja utatupata vipi

Tumejua mnauza koudjis concentrate ila hatujui bei,hatujui mnapatikana wapi,hatujui mawasiliano yenu

Nadhani ungekamilisha taarifa za msingi ili wafugaji tuone kama inawezekana kufanya kazi pamoja
Okay shukrani kwa masahihisho,

Tunapatikana Machava Kigamboni Dar es salaam, kupitia barabara inayoenda mji mwema ukitokea ferry ya Kigamboni tunatazamana na kambi ya jeshi naval,

Mawasiliano ni 0714128565
 
Okay shukrani kwa masahihisho,

Tunapatikana Machava Kigamboni Dar es salaam, kupitia barabara inayoenda mji mwema ukitokea ferry ya Kigamboni tunatazamana na kambi ya jeshi naval,

Mawasiliano ni 0714128565
Weka bei mjomba mbona kama unapindisha?
 
Shida ya ufugaji umevamiwa na makanjanja wanajiita wataalamu wa lishe kumbe wahuni tu wanatafuta hela kwa wafugaji walio desperate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom