Recent content by Greensky

  1. G

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ulevi Rombo: Wanawake wakodi wanaume kutoka Kenya kufanya nao ngono

    Wanawake wa rombo kuagiza wanaume kutoka kenya ili wafanye mapenzi ilhali kuna mamilioni ya wanaume rombo imetutia aibu wanaume wote hata tusio wachaga.hivi pombe inamfanya mwanaume ashindwe tendo la ndoa.AIBU WACHAGA.
  2. G

    JamiiForums Tanzania meya wa morogoro mjini asiwe dikteta

    kuna miradi ya ujenzi imeanza kwa kwa kushirikiana na LAPF.cha kushangaza hataki watu wahoji,watembelee miradi hiyo.kwa mfano hivi karibuni mbunge alikwenda huku akiambatana na diwani lakini cha kushangaza watu wa manispaa wote hawakuepo mara akatokea mkurugurenzi akaahidi kutoa taarifa ya...
  3. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muziki wa bongofleva

    muziki wa bongo fleva ndio kwa asilimia kubwa unaua vipaji vya mamilioni ya wanafunzi nchini kupata elimu.siku hizi kila mwanafunzi awe wa primary,sekondari, wanafeli mitihani au wanashindwa kupata elimu ya kuwaendeleza kimasomo na kimaisha.wanachojua wengi wao ni kukariri nyimbo za bongo fleva...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Nani kama Afande Sele? Watimue Moro, watimue Bongo!

    ukweli ni kwamba huyo jamaa ni mzinzi mvuta bangi.hafai kabisa kuwa kiongozi.nadhani mh.zitto una akili timamu ,utafikiria mara 100,kumweka mtu kama huyu.you will destroy your party reputation.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Mtikila azuia Muswada wa Mahakama ya Kadhi Kujadiliwa

    sasa wewe unataka jamaa wa IS waingie kwetu na kichwa chako kitakuwa halali yao.hebu jaribu kuandika kwenye mitandao ya kimataifa maneno hayo kwa kiingereza halafu uone kilichomtoa nyoka pangoni.malaya mkubwa wewe
  6. G

    JamiiForums Tanzania Serikali iwe makini: Watoto waliofungiwa ndani kuchukua mafunzo waweza kuwa suicide bombers!

    mbona hawawazunmzi wezi na majambazi wa escrow.si ndio viongozi wao wa kiroho.tena wakubwa maaskofu.wangekuwa waislamu saa hizi wapo ukonga.kilaini anaiba huku anafundisha mambo ya kiroho.ama kweli nyani haoni kundule
  7. G

    JamiiForums Tanzania Abood Bus Service na "Siti za Ndoo'

    achana nao hao to challenge abood bus ni kazi kubwa hao wapinzani haingii akilini maelfu ya watanzania wanakimbilia kupanda mabasi haya halafu wengine wanayaponda.nasikia yanakuja mengine 50 ya kisada kabisa this is what we need watanzania wameamka wanataka mambo ya kisasa.well done abood.
  8. G

    JamiiForums Tanzania Abood Bus Service na "Siti za Ndoo'

    ukweli ni kuwa mabasi ya abood wengi wetu tunayaamini kwa miaka mingi kwa huduma bora na za uhakika.hizo picha na lawama hazina msingi.ni upinzani wa kibiashara.ndio maana mabasi ya abood yanapata abiria wengi.myonge myongeni haki yake mpeni.utafiti unaonyesha kuwa wapinzani wameshindwa...
  9. G

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    ndugu zangu watanzania rais atayetufaa ni mtu aliyebobea kwenye uchumi tatizo ni kuwa hakuna rais duniani ambaye ataingia madarakani zama hizi akawa muadilifu kutoka vyama vyote.kwa nini?kila mmoja atataka kwanza kujitajirisha yeye ,mkewe na familia yake.pili kuwaridhisha marafiki zake ama kwa...
Back
Top Bottom