Fomu za kujiunga zinapatikana pale chuoni kwa elfu 30.unajaza km mtu anayeomba admi. Kuna kuambatanisha vyeti mpaka kupigs x-ray ya kifua.Chuo kinafungukiwa mwezi wa kumi mwanzoni.
Kweli hili ni tatizo kubwa sana.Hata huku kigamboni mji mpya mfano Kibada kulikopimwa viwanja kila kukicha ni matangazo ya kubadili matumizi ya viwanja na kutoka makazi na kuwa biashara.Inashangaza sana mtu anabadilishiwa na anajenga fremu!tunarudi kule kule sasa...hapa m$akazi pale baa msikiti...
To Kill and To Die In The Name of
Allah
The following are news items
quoted from newspapers in the last
few years.
October 19, 1994
" A powerful bomb, apparently placed
by Islamic militants opposed to the
Arab-Israeli peace negotiations, blew up
a crowded bus during the morning rush...
Sidhani km ni kweli!Kwa wamarekani mtu akiwa na accent kwenye mahusiano wanasema ni sexy!nilikuwa na pendwa kwa hilo.Ukipiga simu redioni watu wanafurahi sn hasa wanawake.Ila ni kweli sehemu nyingine za kijamii ni' what' na 'I don't understand your french'.Ni vizuri kuiondoa km unaweza mana...
Ninefurahi kuona mada hii hapa JF,inaonyesha jinsi gani watanzania au waafrika tunavyoanza kukomboka kifikra na kuwa na mawazo huru.Wazee wetu enzi zao huwezi kujadili mambo haya na utaambiwa umekufuru.Sasa yanazungumzwa hadharani na yanapingwa!
Mi mtazamo wangu ni kwamba hakuna maisha baada ya...
Tumesema hizi ni point kuanzia 2(hi-score),1(afadhaliy na 0(mbaya)Pointi hizi anapata katika vigezo vyetu vile vitano.Ina mana ss point ni kati ya 0(kafa) mpaka 10.Pointi hizi hutolewa baada ya tu mtoto kutoka,halafu baada ya dk 5 na kama ana hali mbaya hata baada ya dk 10. Mfano...
Appearance, Pulse, Grimace, Activity, and
Respiration.
Five factors are used to evaluate the baby's
condition and each factor is scored on a scale of 0 to
2, with 2 being the best score:
1. appearance (skin coloration)
2. pulse (heart rate)
3. grimace response (medically known as...
There are all kinds of theories, but no one knows
for 100% certaintly. Popular theories are things
like the trauma of being pushed out, the
sensation of having to inflate their lungs with
air, or the change in temperature from 98.6 to
being thrust into a cold hospital environment.
Babies...
Nimekusoma mkuu.Ukitibu mgonjwa hapa ni kinyume na ethics za matibabu na nna shaka na utaalam wako.Kanuni zinasema hivyo...mgonjwa anatibiwa kwny forum?ingekuwa hivyo watu wangekuwa wanapiga simu tu hospitali kaka.Hapa ni ushauri tu.mfano akipewa dawa ikareact unafanyaje?au akifariki kutakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.