IMTU ni chuo cha wahindi me nisha fika na kucheki maapplication hivyo si wadhawa pesa wameweka mbele sana jipangeni ndug
nimesoma pale Mimi, ni chuo kizuri sana, lkn kama huna pesa utaumia sana, lambda uombe loan, lkn kama ni swala la walimu kwenye fani hiyo, wale wahindi ni wazuri Sana.
kuhusu pesa nimejipanga ndio maana mimeapply kule lakin cha mcng ni kupata elimu bora itayonifanya niwe na maisha yangu badae.
all the best B the Don
hata hao waliofukuzwa kwa ajili ya ada nao walikuwa na ukoo na walikuwa wanakesha na kuomba kinoma.....tutachanga ukoo mzima , lazima mtu agraduate ... kama watu wanachanga maharusi kwa pombe za siku moja kwa nini wasichange na kwenye elimu..
hata wasipochanga GOD WILL MAKE A WAY , WHERE SEEMS TO BE NO WAY..
Ndugu zanguni naombeni kujua unaongezea shillingi ngapi iwapo loan bord wakikupa asilimia 100 kwa aliyechaguliwa kusoma bachelor degree ya MAABARA
Registration ni tarehe 8 oktoba.unalipa na ada kabisa.Chuo kinafunguliwa tarehe15 oktoba
Acha kujiongopea labda kama una point ndogo otherwise hama huko mapemaaaa!......Nimeongea na wenyeji wanasema ukitanguliza kama 1mil kw kuanza si mbaya.Nyingine utajazia mkopo ukitoka.Mwanzoni ada ni ndefu kidogo.
Ada ni yote ya mwaka au nusu nusu?
Ndugu zanguni naombeni kujua unaongezea shillingi ngapi iwapo loan bord wakikupa asilimia 100 kwa aliyechaguliwa kusoma bachelor degree ya MAABARA