Recent content by Gree j

  1. G

    Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa na Upendo Peneza, wakamatwa na Polisi Geita na kuachiwa

    Kumwogopa wanamuogopa sana ndo maana nguvu inatumika kihasi iki
  2. G

    BAA LA NJAA NCHINI: Wananchi Kwimba wamsimamishwa Mkuu wa Mkoa wakiwa na mabua yaliyokauka

    Unaposema ukijani unamaanisha nn acha mambo ya ajabu kwanza njaa haipo kwimba pekee hivi unaijua bei ya kilo moja ya unga mwenye njaa asemwi
  3. G

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    Nifah nataka niweze kusoma muendelezezo wa story ya vipepeo weusi nafanyaje au ndo had uonganishwe
  4. G

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    Jaman namimi naomba niunganishwe ili nipate mwendelezo maana leo ndo jumapili
  5. G

    Nampenda mume wangu lakini haniridhishi tukiwa faragha

    Mwanaume ulimpenda mwenyewe ivo kazi ya kumshauri na kumueleza ile kitu unataka ipo juu yako hbr za kumtangaza uku haitakusaidia zaidi unajishusha kutufanya tujue mwenyewe n mbove kwa bed ila unamcngizia mumeo
  6. G

    Ivi ni mapenzi au?

    Jaman kuna ubaya gan hapo
  7. G

    Sasa rasmi: Yusuf Manji atimuliwa Quality Plaza, apewa saa 24

    Na bado vingi vya siri utaendelea kuviona
  8. G

    Wanawake wenye pini puani hunivutia sana

    Mh basi mwenyewe ndo umeona nyiiiiiiingi
  9. G

    Kwanini wanawake wa kibongo wanapenda kujibadilisha wawe weupe kama wazungu?

    Aliyekwambia wliko kwenye ndoa hawauzi nan wakat wenyewe ndo nguli
  10. G

    Njia gani sahihi za kuzuia mimba mara baada tu ya kujamiana?

    Ikakusaidia? maana coni uhusiano wa maji baridi na iyo issue
  11. G

    Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

    WAN Wanakopaga na kuacha simu zao rehani had wapate hela za kulipa unadhani walevi wanamaana
Back
Top Bottom