Recent content by Greatest Majani

  1. G

    Kwako Balozi Dkt. Wilbroad Peter Slaa

    Hapo maccm hayawezi kukujibu hata nukta moja
  2. G

    Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

    aaaaaah pole sana, Kwan upo chuo gani & unasoma kozi gani ? Sent from my PTM-Z-mini using JamiiForums mobile app
  3. G

    Rais Magufuli ateua mabalozi, Emmanuel Nchimbi aula Brazil

    Upande wa muamsho mmmmh,,,, naona kiza vileeeeeeeeeee
  4. G

    Wanayofanyiwa watuhumiwa wa ugaidi Segerea

    Mwandendeule acha kuropoka ujinga huo, maana huna ushahidi na unachokiongea, na hao watu kama kweli wangekua ni magaidi siku mingi wangekua wameisha hukumiwa
  5. G

    Zitto Kabwe: Rais umeamua kuchagua upande wa wanaokupa taarifa za uongo na majungu, muda utasema

    Yaaaaan n full kukaa kwenye kamera, mwisho ndio kuropoka na yasiyofaa
  6. G

    Ni aibu kusema Tanzania kuna njaa

    Mtoa post nadhan umekurupuka tu, Kwan nilini CCM imewekeza ktk kilimo cha umwagiliaji ? Ila mungu anawaona kwa unafiki wenu
  7. G

    Huyu "mzee bure" aliyetajwa na rais Magufuli ni nani?

    Kiril original ww n noma ila mkuu amekua kama afisa habari wa vyura fc
  8. G

    Mtumbuizaji kupewa bendera ya Taifa!

    Ni ujinga maana diamond hata zaidi 15 minutes, sijui sasa hiyo bendera atajifunga huo ni mwendelezo wa mkurupuko na u mwendokasi
  9. G

    Dkt. Slaa: Ninapokubaliana na kutofautiana na Magufuli

    Mimi simuungi mkono raisi na wala haitotokea nikamuunga mkono maana mm si mnafiki kama watu wengine walivyo wanafiki
  10. G

    Mbowe,kulalamika ughaibuni ni woga na udhaifu mkubwa.Mapambano hapahapa Tanzania

    Acha uzwazwaa bila kwenda huko wangesitisha vipi msaada na mikopo hao watu wa ulaya ? Na bado
  11. G

    Ni ngumu na ni aibu kujipanga foleni mwaka 2020 kuwapigia CHADEMA kura

    Acha ujinga na nahisi unahamu ya kutukanwa
  12. G

    Rais Magufuli ameleta socialist nirvana

    Kila watanzania 4,mmoja n kichaaa
Back
Top Bottom