Hadithi kama hizi uwe unasimulia wanao wakikalibia kulala na sio kuwaeleza watu wazima wenzio.Tokea Magufuli alivyoingia Ikulu Watanzania wamefarijika na wamefaidika.
Juhudi zilizofanyika kuwathibiti wakwepa kodi, mafisadi, wala rushwa, wazembe: hii ndio ilikuwa ndoto ya Watanzania siku nyingi.
Sasa Magufuli ameingia madarakani anatekeleza mambo haya. Bado zipo changamoto za kuleta harmony ndani ya nchi na harmony kati yetu na majirani.
Lakini Watanzania tusishindwe and let us make quarrelling history.
Tuishi kwa a man I from now and forever more.
Analazimisha uteuzi,aendelee kupiga waragi tuNjaa mbaya sana
Acha ujingaHaki ipi unayoitaka wewe?? Ya kunya barabarani??
Mkuu huko usikuzungumzie! Ila kutoa msaada kwa washona Viatu ni jambo jema.Na za bukoba
Aaah tatizo letu CCM nikupenda kusikia kisicho kweliTatizo la ukawa ni kupenda kusikia wanachopenda kusikia!