Habari wakuu! Najaribu kujaza taarifa kwa lengo la kupata control number kwenye mfumo wa Police loss report bila mafanikio. Kama kuna mtu aliyewahi pata changamoto kama yangu anaweza nishauri alifanyaje akafanikiwa. Asanteni
Mkuu kuna kitu hujaelewa, hyo 10MB wanayosemea ni speed, means utadownload kwa speed isiyozidi 10MB au wanafupishaga na kuandika 10MBPS=10MB/Sec byt ni unlimited mbona makampuni mengi sana wana hyo huduma hapa kwetu mfano kuna simb net ,ateb ,zuku pia wana hyo huduma. Wanakuja wanakufungua fiber...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.