Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Walikuwa na Pizza tamu sana tena kwa bei nzuri tu ambayo ilitufanya sisi wapenzi wa pizza tule pizza kila mara. sasa baada ya uchumi kuondolewa nimekuwa nikihangaika kwa mimi nliye mjini ntapata wapi pizza kama zile za bei rahisi na zenye ubora pia?
Maana town ukigusa pizza tsh 12,000 + kiukweli hapo hatuwez kula kila siku sisi wenye kipato kidogo.
Tufahamishane wadau kijiwe kingine cha kula pizza kwa bei nzurikama ya uchumi ni wapi?
WAKATI WENGINE WANAKULA ILI WASIFE, WANAKULA KUJAZA MATUMBO. SISI KWETU KULA NI SEHEMU YA STAREHE.
Maana town ukigusa pizza tsh 12,000 + kiukweli hapo hatuwez kula kila siku sisi wenye kipato kidogo.
Tufahamishane wadau kijiwe kingine cha kula pizza kwa bei nzurikama ya uchumi ni wapi?
WAKATI WENGINE WANAKULA ILI WASIFE, WANAKULA KUJAZA MATUMBO. SISI KWETU KULA NI SEHEMU YA STAREHE.