Recent content by grand gazelle

  1. grand gazelle

    Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    Hela na iheshimiwe na watu wote
  2. grand gazelle

    Kinachoikumba Shule ya Mt. Jude: TRA waliondoa 500,000,000 kwenye akaunti za Shule

    Wakiwamaliza hao wembe utahamia kwa wale wafanyakazi waliokua wakifanya biadhara then wakazifunga bila kutoa taarifa TRA ili kusimamisha TIN namba zao. Kupitia TIN namba walizo submit watauona moto. Unakuta mtu alifunga biadhara yake tangu 2016 na hakutoa taarifa ya kusitishwa TIN namba yake...
  3. grand gazelle

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Acha tu ndugu Mambo sio Mambo kabisa upande huu, mwenye mtaji aniazime maana nimeunguza account yote
  4. grand gazelle

    Wanajamvi wapenzi wa Country music Alan Jackson ni Hatari

    The older I get, ni habari nyingine aise. Mimi pia huyu mwamba nimeanza kumsikiliza juzi juzi tu najuta kwanini nimechelewa kumjua huyu mtu. Kama una ma song yake fanya kushare na Mimi whatsapp basi. Kama unayo naomba uniambie nikutumie namba PM
  5. grand gazelle

    Kwa hatua niliofikia hivi sasa naona bora nife kwa maana nimefeli hatua zote katika maisha

    Ukijiua tutakumiss Sana hapa jf, hebu pambana kiume natumaini kuna siku utaleta mrejesho hapa jinsi ulivyolishinda hili bonde la umasikini. Never lose hope as long as you still alive. Pambana pambana pambana
  6. grand gazelle

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Unaweza hisi kuna ushirikina kwenye hii biashara, pale unapotaka kufanikiwa kuna Kama pepo linakuja kukutibulia. Naanza kuhisi hii biashara pia inahitaji nguvu za kiroho pia
  7. grand gazelle

    JF imekusaidia nini tangu uijue?

    JF imenifunza mengi Sana, Ila pamoja na yote ule Uzi wetu pendwa wa "wazee wakuweka mzigo"umenifanya kuwa mtu katika watu. Namshukuru Sana alieanzisha ule Uzi japo ndio hivyo tena kanuni mpya za mtandaoni zimetuzulumu haki yetu.
  8. grand gazelle

    Msaada WanaJF njia bora ya kuhifadhi akiba ya watoto

    Mwenye kujua zaidi kuhusu hisa za UTT atujuze zaidi kwa faida ya wengi
  9. grand gazelle

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Cash out tu aise ulale kwa Aman, bado una faida nzuri
  10. grand gazelle

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hebu tupe darasa ndugu yangu, hua unaweka timu moja, na option ipi hua inatoa zaidi?
  11. grand gazelle

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwahiyo ukapishana na gari ya hela, unatakiwa uiamini strategy yako no matter what. Leo ungeamka vizuri hatari
  12. grand gazelle

    Kwanini ni muhimu kwa Baba kuonyesha upendo wa dhati binti yake?

    That why I love my daughter to the moon and back. Pia njia ya kuonyesha unampenda ni kumpenda mama yake. She will feel completely loved Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom