Hahahaaa uwi mkuu usimuache,mimi ishanitokea sio mara moja,nikiwa hivi hivi na mvi zangu,sio ugonjwa ni kupuuzia kukojoa muda ule wa kulala,thn ucku unaota km ndoto upo kichakan unajojoa,bt mkojo wake unaweza kuuwahi ukihis tu unashtuka unaenda choon bt huyo wako itakua ni uchovu tu so mvumilie mkuu
Wabongo bn wakaianza kung'ang'ania kitu kimoja mpk utachoka,hiyo St Mathew ni shule ya kawaida tu msiogope kuona neno St.,mnapaswa kujua tu amaeishi maisha ya kawaida usikute kuliko hata viongoz wengine isipokua Nyerere,sasa mmeng'ang'ania St.mathew weeee
Yaani mmekaa kinegative negative,kuweni na mawazo chanya hata mara moja khaa.atakwama atakwama kwanza yeye km yeye rais Maguful ni jeshi tyr la mtu mmoja hata kusingekua na mawazir pekeyake anatosha kabisaaaa,tumeona aliyoyafanya even without hao so called mawazir
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.